Jihadharini na Oman Air

Jihadharini na Oman Air

sio kweli mimi napita sana Seeb Airport hakuna ubaguzi

Hii ngozi nyeusi robo tatu yake huenda ilishalaaniwa na Mungu, haiwezekani evry day wawachukie waarabu tu 😀😀😀

Mleta mada ni mbaguzi sana, na inavyoonekana anawachukia waarabu na uislamu kwa ujumla,, especially waOMAN, nchi ambayo Mtume wetu Muhammad (S.A.W) aliiombea nchi ile na mpaka leo hii nchi ya Oman ni nchi ya amani, watu wake ni karimu sana sana kuliko cc weusi.

OMANI
AMANI
IMANI
 
Napenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu alipofika Muscat walimzuia kupakia Ndege ya kwenda London,
Amejaribu kuulizia sababu za yeye kuzuiwa,hawasemi,baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
Kama una ndugu au jamaa asipande hii Ndege watamrudisha




Huyo ndugu yako + wewe mwenyewe acheni kupanda oman air, ila cc tutapanda kama kawaida, sawa mjomba!!! 😀😀😀
 
Acha kuharibu brand za watu kwa maslai yako binafsi au washirika wako walio kutuma....hakuna kitu kama hicho ndani ya shirika la ndege la oman air wakati % kubwa ya wafanyakazi ni wa oman wenye asili ya tanzania na wanao ongea kiswahi. Ma pilots na wahudumu wa ndani ya ndeni kwa % kubwa ni waswahili huo ubaguzi unao usema umetoka wapi?point hapa ni kwamba you had some irregularities....period
 
Acha kuharibu brand za watu kwa maslai yako binafsi au washirika wako walio kutuma....hakuna kitu kama hicho ndani ya shirika la ndege la oman air wakati % kubwa ya wafanyakazi ni wa oman wenye asili ya tanzania na wanao ongea kiswahi. Ma pilots na wahudumu wa ndani ya ndeni kwa % kubwa ni waswahili huo ubaguzi unao usema umetoka wapi?point hapa ni kwamba you had some irregularities....period


Huyu ana lake jambo co bure.
 
Kwanini wakati hata wanawake wetu wanaofanya kazi za ndani wanaf*rwa kila siku na Mabulushi yakipeana zamu na WaOmani.
Haha haha yanawatafuna zetu inabidi na sisi tuwatafune dada zao kinyeo

#bamia_ndefunene
 
Tangiapo hawa wenzetu wawe whites, browns or whatever wanamnyanyapaa sana mtu mweusi. Sisi tulitakiwa tujipende sisi kwa sisi, lakini ni kinyume chake . Sisi hatujipendi sisi kwa sisi badala yake tunawahusudu hao watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Ndo maana members wengi humu jf ID's zao ni za kizungu. Tupendane wenyewe mwisho wa Siku watakubali
 
Mimi abadani Sipandi Omanair yaa nini bana kushindishwa na kahawa chungu na Kaswida mpaka Bangkok

Muislamu mzima unaongea vitu vya kipuuzi ivyo! Unataka miziki na pombe ili uridhike co! Vitu ambavyo Allah ameviharamisha! Ni muislamu wa aina gani wewe ndugu yangu! Mbona mimi nimepanda sana hizo ndege zao cjaona ubaguzi wowote! Muogope Allah ndugu yangu, maisha yenyewe ndiyo haya, mafupi.
 
Oman air ninaowafahamu,hii ni mpya kwangu.

Nimesafiri nao mara nyingi...sijaona watu wakarimu kama hawa. Kuna siku tuko Oman tunasubiri kuconnect flight, kijana wa Kitanzania alichanganya muda pale airport akaachwa, alilaumiwa kidogo tu then akapewa nafasi ya next flight to London. Nilishangaa

Mimi pia nilishachelewa Airport Dsm, nilivyoona nimekwama kwenye foleni nikawapigia simu...wakaniambia tunacancel then nikapewa tiketi nyingine ya kesho kutwa yake.

Nikikumbuka scenario hizo nashindwa hata kuwasema vibaya.
 
Oman air ninaowafahamu,hii ni mpya kwangu.

Nimesafiri nao mara nyingi...sijaona watu wakarimu kama hawa. Kuna siku tuko Oman tunasubiri kuconnect flight, kijana wa Kitanzania alichanganya muda pale airport akaachwa, alilaumiwa kidogo tu then akapewa nafasi ya next flight to London. Nilishanga

Mimi pia nilishachelewa Airport Dsm, nilivyoona nimekwama kwenye foleni nikawapigia simu...wakaniambia tunacancel then nikapewa tiketi nyingine ya kesho kutwa yake.

Nikikumbuka scenario hizo nashindwa hata kuwasema vibaya.
Hili tukio kila mtu ukimwadithia anashangaa sio tukio la kutunga limetokea nikiwa transit hapo airport ya Muscat,
 
Hili tukio kila mtu ukimwadithia anashangaa sio tukio la kutunga limetokea nikiwa transit hapo airport ya Muscat,
Mkuu naona kama maelezo yako yanachanganya.

Napenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu alipofika Muscat walimzuia kupakia Ndege ya kwenda London,
Amejaribu kuulizia sababu za yeye kuzuiwa,hawasemi,baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
Kama una ndugu au jamaa asipande hii Ndege watamrudisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom