Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Habarini ndugu zangu,
Ndugu zangu napenda niwafahamishe style mpya ya mawakala wakusajili line za simu.
Jamaa yangu ukienda kwa wakala kusajili line yako sasa hivi wanakupiga picha mara 3 na wanakusainisha dole gumba mara 3. Hivyo inawawezesha wao kukusajilia line 3 bila wewe kujua.
Ukishaondoka na line yako moja hizi zingine Wanauza tena mara nyingi huwauzia watu wanaoonekana wa vijijini wasiojua kusoma na wale wasiokuwa na vitambulisho vya Uraia.
Hili jambo ni hatari kwa sababu huyo aliyeuziwa line hiyo akifanya tukio baya utatafutwa na kukamatwa wewe.
Hizo line huuzwa Sh 5000 hadi 3000. Unaambiwa zishasajiliwa kila kitu lipia usepe nayo.
Hii ni tahadhari kwenu ndugu zangu nawapenda sana.
Ndugu zangu napenda niwafahamishe style mpya ya mawakala wakusajili line za simu.
Jamaa yangu ukienda kwa wakala kusajili line yako sasa hivi wanakupiga picha mara 3 na wanakusainisha dole gumba mara 3. Hivyo inawawezesha wao kukusajilia line 3 bila wewe kujua.
Ukishaondoka na line yako moja hizi zingine Wanauza tena mara nyingi huwauzia watu wanaoonekana wa vijijini wasiojua kusoma na wale wasiokuwa na vitambulisho vya Uraia.
Hili jambo ni hatari kwa sababu huyo aliyeuziwa line hiyo akifanya tukio baya utatafutwa na kukamatwa wewe.
Hizo line huuzwa Sh 5000 hadi 3000. Unaambiwa zishasajiliwa kila kitu lipia usepe nayo.
Hii ni tahadhari kwenu ndugu zangu nawapenda sana.