Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

labda kwa maelezo mafupi kuhusu tofauti kati ya collar insignia na ranks kijeshi kwa ninavyofahamu ni kuwa collar insignia ni alama za vyeo ambazo huwekwa katika mavazi ya askari kwa mfano V, nyota n.k yaani ni vyeo vilivyopo kwenye mavazi unavyoviona hii nadhan haina utata sana, ila speaking about rank kijeshi ni cheo kutokana na kikosi au kamandi yaani unaweza kukuta cheo ni kimoja lakini kina jina tofauti kutokana na kikosi au kamandi fulani kwa mfano askari mwenye nyota 3 katika kamandi ya nchi kavu huitwa captain hiyo ndo rank yake ila askari huyo huyo mwenye cheo cha askari wa nyota 3 kwenye kamandi ya maji rank yake ni tofauti rank yake lieutenant.Hii ipo hivi kwa mfano mkuu wa majeshi rank yake ni general, ila mkuu wa kikosi cha anga rank yake ni air chief Marshal, na mkuu wa kikosi cha maji rank yake ni Admiral kwenye nchi majeshi ambayo yapo chini ya NATO. kibongo bongo kwa mfano lieutenant general ni rank ya kikosi cha nchi kavu na air force ila kwa navy anaitwa vice admiral
Mkuu naomba hivi collar insignia na ranks vipo vipi hivi vitu naomba ufafanuzi wake kidogo. Pia tisa mbili pale CO wake nilazima awe amekula course ile???...

Sent using Jamii Forums mobile app
20190407_145730.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamandi ya nne ni ya Mizinga.
Jkt ni kitengo ndani ya jeshi
Wakati wa uzinduzi wa kamandi ya ardhi, aliyekuwa mkuu wa kamandi hiyo retired Major General Kisamba alihimiza ziko tatu tu na JKT hakuitaja. labda wote wako sawa ila walipishana kidogo lugha au sisi hatukusikia vzr au hatukuelewa vzr.
 
Umeonhea Sawa ila kamandi ya nne ipo unaitwa kamandi ya Mizinga.
JKT/JWTZ
watu wengi wanachanganya na wakati mwingine kuhisi JKT ni kitu tofauti na JWTZ, kwa ufafanunuzi wa juu juu kidogo ni kuwa JKT ni part of JWTZ, hata ajira zao ni moja, mshahara ni ule ule, vyeo ni vile vile, officers cadet ni ile ile Monduli, na hata askari huweza hamishwa kati ya hizo sehemu mbili. Lakini nmeona watu wakibishana kuwa kama JKT ni kamandi ama la, kijuu juu ni kuwa JKT ni kitengo kikubwa Jeshini, shughuli zake na imani mnazifahamu; JKT tunweza kusema kuwa ni kamandi pia kama zilivyo Anga, Nchi kavu, na Maji kutokana hata na ukubwa wake hata na viongozi wake. Tofauti ni kuwa hizo zingine tatu ziko kiutendaji/kimapambano/kivita wakati JKT iko kiuzalishaji ndo maana wengine hudiriki kuiona JKT kama sio kamandi na wengine huona ni kamandi.
 
Wanajamvi nipo hapa njiani maeneo ya Singidani napunga upepo mwanana nimeona kuna gari ya jeshi la wananchi JWTZ ina nyota mbili huyu bosi kicheo ni nani? Karibuni makamanda mtuelimishe
 
Wanajamvi nipo hapa njiani maeneo ya Singidani napunga upepo mwanana nimeona kuna gari ya jeshi la wananchi JWTZ ina nyota mbili huyu bosi kicheo ni nani? Karibuni makamanda mtuelimishe
Ni mimi TT AKA Terrible Teen , njoo hapa CRESTA Hotel ndo nimefikia.
 
Major general ipo rafiki resort singida si ndio kweli unapunga upepo wap hapo jomba sema ulikuwa unajipitia njia tu
 
MAJOR GENERAL huyo hiyo gari ina cheo cha LUTENI na inapigiwa saluti na MA JUNIORS
 
Back
Top Bottom