Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,844
- 95,795
Mkuu kwanini usijaribu?Rudia zoezi lako huku mtu anakurekodi
uje utuoneshe hapa ili tukuamini
Mkuu kwanini usijaribu?Rudia zoezi lako huku mtu anakurekodi
uje utuoneshe hapa ili tukuamini
Kesho ulete mrejeshouzi mtamu huu ngoja nitest leo. ila kweli ukiwa na imani yote yanawezekana ndomana hata ray kaamini maji ya kunywa yanaweza kubadili sura na kweli ikawa!
hiki ndio kile kizazi kinachotaka ishara kutoka mbinguni ili kiamini.Mkuu kwanini usijaribu?
Watasubiri sanaaahiki ndio kile kizazi kinachotaka ishara kutoka mbinguni ili kiamini.
Mkuu kwanini usijaribu?
Si ili uamini kama kinawezekana au la?sijachoka kutembea..nipae ili iweje?
tatizo lako mkuu ni upeo wa kufikiri tu....God bless youwatu wakishashiba mchele kitumbo wanawaza ujinga ujinga tu kesho katembee pale ferry nakwambia utatajirika utamzidi hadi mo
ndio nini ?sijachoka kutembea..nipae ili iweje?
kwanini usimtumie kwenye. Email yake ?Ngoja nijaribu leo,nikiweza moja kwa moja nakuja hapo magogoni kumletea mzee Makofuli majina ya wauza pembe za ndovu huku selous
Bado unaendelea Na hawa watoto,? Asietaka kuamini shauri zake, hata usiku wa kuamkia Leo nilikuwa napaakwanini usimtumie kwenye. Email yake ?
Kwanini yasilinganishwe?
Yeye ni MunguKwanini yasilinganishwe?
Sasa huu uzi hauhusiani na maswala ya dini wala ya Mungu hivyo mifano itatolewa tu kama inahitajika iwepoYeye ni Mungu
Soma maandiko kwa tafakari ya kina. Km kweli unamuamini Mungu huwez kujiona kuwa unaweza kufanya mambo ya kumzidi Mungu. Bwana hatowaelekea wenye kiburi.nimeanza mda sana na nimeruka mara nyingi sana ......kuhusu kulinganisha hata yesu mwenyewe alisema ukiwa na IMANI utafanya zaidi hata kuliko aliyoyafanya yeye
Utatoaje mfano usioendana na mada husika?Sasa huu uzi hauhusiani na maswala ya dini wala ya Mungu hivyo mifano itatolewa tu kama inahitajika iwepo
Mfano ametolewa Yesu kama mtu hivyo hakukuwa na tatizo lolote lileU
Utatoaje mfano usioendana na mada husika?
Usimlazimishe achana naoMfano ametolewa Yesu kama mtu hivyo hakukuwa na tatizo lolote lile
Uuuwiiii yeeeuuuuwiiii uwiii uwiiiiUs
Usimlazimishe achana nao