Kwa kweli sijawahi tumia zoa zoa.
Maduka ya vipodozi au duka la dawaMotivate tube nitaipata wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap!!Kwenye Maduka ya vipodozi dear
Sent using Jamii Forums mobile app
Wifi nimeipenda hii lakini nimeogopa hapo kwenye weupe...ina maana hata kama mi mweusi napata weupe kwa maana kwamba inanichubua?Kama unahisi mwili wako una mabaka mabaka ya vipele au ya mbu, fuata hatua hizi:
Chukua mafuta ya nazi (hakikisha umetengeneza mwenyewe) vijiko 10, kisha chukua vijiko 3 vya asali tia katika mafuta yako ya nazi na uchanganywe.
Pakaa sehemu iliyoathirika na mabaka, ukishapaka kaa nayo dk 10 kisha bila kunawa paka huo mkorogo wako juu ya mwili wako.
Ndani ya siku 5-7 mabaka yatapotea na utapata weupe wa kuteleza.
Asanteni.
Nakaribisha maswali, ushauri, maoni, mapovu, kejeli, matusi, lawama na malalamiko.
Weupe wa hapa sio huu wa uarabu wifi....Wifi nimeipenda hii lakini nimeogopa hapo kwenye weupe...ina maana hata kama mi mweusi napata weupe kwa maana kwamba inanichubua?
Na hilo litakuwa zoezi endelevu au baada ya hizo siku naweza kuacha na mabaka yasirudi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nielekeze ya kuondoa mabaka tu bila kung'arishaWeupe wa hapa sio huu wa uarabu wifi....
Weupe wa cream pozo tofauti na wa cream kali.
Uzuri unapaka kwenye mabaka au hata mwili mzima.
Ila kama unahofia kung'aa sana, paka serum ya kuondoa mabaka tu..ili ubaki na rangi yako wifi.
Hebu natural iachie misitu bhana
Ushaambiwa ni mkorogo wa asili ambao hauna madhara sasa wewe unaleta mapovu hapa......piteni huko ebuOoh Kansa zimezidi Ocean Road..
Ooh figo zimekataa kufanya kazi
Ooo maini yameoza..
Ooh mimba zinatoka...
Silaha za maangamizi zinatengenezwa na wanawake wenyewe ...
Mungu atunusuru
Aliyekuambia vitu asilia nani embu soma vilivyo ndani kwanza kabla hujaleta pumba hapaUshaambiwa ni mkorogo wa asili ambao hauna madhara sasa wewe unaleta mapovu hapa......piteni huko ebu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pls non of your bness kupaka tupake cc kuumia uumie wewe..............kama haikuhusu pita kimyaAliyekuambia vitu asilia nani embu soma vilivyo ndani kwanza kabla hujaleta pumba hapa
wewe mbona hujapita kimya kafe peke yakoPls non of your bness kupaka tupake cc kuumia uumie wewe..............kama haikuhusu pita kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaambiwa ni mkorogo wa asili ambao hauna madhara sasa wewe unaleta mapovu hapa......piteni huko ebu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wake wa maofisa wa TFDA.Ushaambiwa ni mkorogo wa asili ambao hauna madhara sasa wewe unaleta mapovu hapa......pita kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama....tufanye yale yanayotupendeza.Pls non of your bness kupaka tupake cc kuumia uumie wewe..............kama haikuhusu pita kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabaka huwa natumia serum wifi
Mamy majani ya mvuto yanapatikana wapi?Maelekezo
Mahitaji
1. Extra clair cream yenye lemon
Extra clair cream ipo ya carrot na lemon.
Wewe chukua ya lemon.
Inauzwa 7000/=
2. Glycerine ya Alovera
Inauzwa 1000/=
3. Movate tube 2,(Kama unataka kung'aa sana) au tube 1,(kama hutaki kung'aa sana)
Tube moja sh 3000 mbili sh 6000
4. Lotion yoyote laini yenye mchanganyiko wa asali ndani yake mfano hizi za Revlon au hizi za kupaka mwilini ila ziwe na mchanganyiko wa asali ndani yake.
Hizi zinauzwa sh 5000 mpaka 7000
5. Mfuko mdogo kwa ajili ya kuchanganyia mchanganyiko wako
Hatua.
1. Chukua mfuko tia lotion ya Revlon pamoja na cream ya Extra clair ya lemon kisha chukua kijiko na uchanganye mchanganyiko wako vizuri.
2. Baada ya kuchanganyika vizuri....tia tube ya movate 1(kama hutaki kung'aa sana) na tube 2(kama unataka kunga'aa sana) kisha koroga mpaka uchanganyike na uone rangi imekuwa kijani angavu.
3. Malizia kuweka glycerine kisha funga mfuko halafu upige pige mfuko mpaka uhakikishe mchanganyiko wako umechanganyika vizuri.
4. Andaa vikopo vile vile ulivyotoa lotion kuwekea mkorogo wako.
Utoboe mfuko kwenye kona ili kumimina mchanganyiko wako kwenye vikopo.
5. Ukishauweka kwenye vikopo....uache kwa lisaa 1 ndipo uanze kupaka.
Paka mwili mzima, kuanzia usoni, tumboni, makalioni mpaka nyayoni.
NB:
Waweza tia glycerine yoyote kama utakosa ya alovera.
Ukipata glycerine ya Uganda itakuwa vizuri sana.
Mkorogo huu unaweza kuutumia wewe mwenyewe binafsi nyumbani au kibiashara.
Kama binafsi, kukata harufu ya lemon, tafuta majani ya mvuto tia mule na harufu itakata.
Kwa biashara, kadri inavyokaa ndivyo harufu inaisha.
Waweza paka mara 1 au 2 kwa siku.
Ila ni vizuri kupaka usiku ili asubuhi unaamka na kuoga kisha unapaka mafuta ya nazi tu na kuendelea na shughuli zako.
Paka mapajani, mikononi, usoni, kwenye vingwimba vya mikono na miguu. Hauna madhara hata 14+ anapaka.
Kama unahisi mwili wako una mabaka mabaka ya vipele au ya mbu, fuata hatua hizi:
Chukua mafuta ya nazi (hakikisha umetengeneza mwenyewe) vijiko 10, kisha chukua vijiko 3 vya asali tia katika mafuta yako ya nazi na uchanganywe.
Pakaa sehemu iliyoathirika na mabaka, ukishapaka kaa nayo dk 10 kisha bila kunawa paka huo mkorogo wako juu ya mwili wako.
Ndani ya siku 5-7 mabaka yatapotea na utapata weupe wa kuteleza.
Asanteni.
Nakaribisha maswali, ushauri, maoni n.k
Notag na meSawa mamii.
Ngoja nikakutag kwenye uzi.
Niliuanzisha humuhumu...
Huwa yanapatikana maduka ya dawa za asili.Mamy majani ya mvuto yanapatikana wapi?
Kusema ule ukweli michirizi kama michirizi haina dawa maalum ya kuondoa ikaisha kabisa.madame nielekeze dawa ya michirlizi maana imekaa km raman ya africa
Sawa dear..thank'sHuwa yanapatikana maduka ya dawa za asili.
Uliza majani ya kukata harufu, huwa wengine wanayaita maua ya rose...