Jifunze kumuacha aende

• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

MUACHE AENDE !

• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

MWACHE AENDE !

• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

MUACHE AENDE !

• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

MUACHE AENDE !

• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

MUACHE AENDE !

• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

MUACHE AENDE !

• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...

MUACHE AENDE !

CHA KUJIFUNZA

• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

Jifunze kumuacha aende hata ni kama kwenye ndoa, vitabu vya dini vinaruhusu kabisa kuvunja ndoa kwa kesi ya Uzinzi.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

Tupo pamoja??
Asante kwa somo zuri, nahisi furaha yangu imerudi ghafla baada ya kusoma hii kitu.

MUACHE AENDE....

Ngoja nifute na namba kabisa maana nimebembeleza hadi nimechoka.
 
Asante kwa somo zuri, nahisi furaha yangu imerudi ghafla baada ya kusoma hii kitu.

MUACHE AENDE....

Ngoja nifute na namba kabisa maana nimebembeleza hadi nimechoka.
Ni uamuzi mzuri na najua itakuwa ngumu sana mwanzoni ila jitahidi kujiweka busy na mambo mengine ili uweze kumsahau

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

MUACHE AENDE !

• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

MWACHE AENDE !

• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

MUACHE AENDE !

• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

MUACHE AENDE !

• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

MUACHE AENDE !

• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

MUACHE AENDE !

• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...

MUACHE AENDE !

CHA KUJIFUNZA

• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

Jifunze kumuacha aende hata ni kama kwenye ndoa, vitabu vya dini vinaruhusu kabisa kuvunja ndoa kwa kesi ya Uzinzi.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

Tupo pamoja??
 
Hello jf,katika mapenzi unaweza mpenda mtu na kumuona wa thamani sana but akaja kukufanyia mambo ambayo yakakuumiza sana kiasi kwamba ukashindwa hata kufanya mambo yako ipasavyo na pengine umejaribu kujishusha japo mkosaji ni yeye lakini bado hakuna changes zozote kila kukicha afadhali ya jana,hali inapofikia hapo huna budi kumuacha aende sio kwamba umechoka kumpenda lakini ni kutokana na maumivu anayokusababishia moyoni mwako. Using'ang'ane na mtu anayekuumiza moyo MWACHE AENDE TU then move on with your life,Japo mwanzo ni mgumu but utazoea tu and u will get the right one on a right time.
 
Hello jf,katika mapenzi unaweza mpenda mtu na kumuona wa thamani sana but akaja kukufanyia mambo ambayo yakakuumiza sana kiasi kwamba ukashindwa hata kufanya mambo yako ipasavyo na pengine umejaribu kujishusha japo mkosaji ni yeye lakini bado hakuna changes zozote kila kukicha afadhali ya jana,hali inapofikia hapo huna budi kumuacha aende sio kwamba umechoka kumpenda lakini ni kutokana na maumivu anayokusababishia moyoni mwako. Using'ang'ane na mtu anayekuumiza moyo MWACHE AENDE TU then move on with your life,Japo mwanzo ni mgumu but utazoea tu and u will get the right one on a right time.
Kwakweli umeongea ukweli kabisa.... unakuwa unajitahid kujitolea kumpenda lakin.. wapi. kuliko kuendelea kuumia.. ni bora uka mwacha aende zake... ili uishi kwa aman kuliko kuishi kwenye majonzi kila cku.
 
Hello jf,katika mapenzi unaweza mpenda mtu na kumuona wa thamani sana but akaja kukufanyia mambo ambayo yakakuumiza sana kiasi kwamba ukashindwa hata kufanya mambo yako ipasavyo na pengine umejaribu kujishusha japo mkosaji ni yeye lakini bado hakuna changes zozote kila kukicha afadhali ya jana,hali inapofikia hapo huna budi kumuacha aende sio kwamba umechoka kumpenda lakini ni kutokana na maumivu anayokusababishia moyoni mwako. Using'ang'ane na mtu anayekuumiza moyo MWACHE AENDE TU then move on with your life,Japo mwanzo ni mgumu but utazoea tu and u will get the right one on a right time.
Mkuu,nafikiri hujawahi kupenda kisawa sawa,isikie kwa wenzio tu,unapenda mpaka unachizika,kumuacha huwezi ila cha moto unakiona.
 
Hata upende vipi kuna muda huna budi kumuacha aende na sio kwamba umpendi but ni kutokana na maumivu anayokusababishia moyoni mwako,jifunze kufanya hivo itakusaidia.
Nashindwa kumuacha bhana,maana mavituz anayonipa napagawa,akiwa mbali napata kisebusebu na kiroho kinapasuka,inabidi nikubali yaishe at least niambulie ngoma ya ukae,kuliko ukame ukinishika nipate wazimu sababu ukame wangu anaeweza kuutoa ni yeye tu hapa duniani bhana,mbona huelewi?enyi wanawake nawapa sifa jamani,sisi wanaume mkitufikisha penye naninhii basi hatuna ujanja tena.
 
Nashindwa kumuacha bhana,maana mavituz anayonipa napagawa,akiwa mbali napata kisebusebu na kiroho kinapasuka,inabidi nikubali yaishe at least niambulie ngoma ya ukae,kuliko ukame ukinishika nipate wazimu sababu ukame wangu anaeweza kuutoa ni yeye tu hapa duniani bhana,mbona huelewi?enyi wanawake nawapa sifa jamani,sisi wanaume mkitufikisha penye naninhii basi hatuna ujanja tena.
Basi sawa lakini yakikufika vema uta surrender tu
 
Hello jf,katika mapenzi unaweza mpenda mtu na kumuona wa thamani sana but akaja kukufanyia mambo ambayo yakakuumiza sana kiasi kwamba ukashindwa hata kufanya mambo yako ipasavyo na pengine umejaribu kujishusha japo mkosaji ni yeye lakini bado hakuna changes zozote kila kukicha afadhali ya jana,hali inapofikia hapo huna budi kumuacha aende sio kwamba umechoka kumpenda lakini ni kutokana na maumivu anayokusababishia moyoni mwako. Using'ang'ane na mtu anayekuumiza moyo MWACHE AENDE TU then move on with your life,Japo mwanzo ni mgumu but utazoea tu and u will get the right one on a right time.

mtoto hajambo bibie??
 
Back
Top Bottom