KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,513
Pamoja mkuu.
Pamoja mkuu.
Basi endelea kung'ang'aniaSiwezi kumuacha aende
Mbona unenda nje ya madamtoto hajambo bibie??
Umenena vemaPiga chini. Upendo hauna kuzungushana kama pia.
Hapo ndyo unajiona umepatwa!!!!hahahaha..rahisi sna kusema mwache aende...Ahahha..kimbembe wanaokuja hawajamfikia huyo uliyemuacha aende!!!Mkuu mwache aende tuu mi tayari mwenzioMkuu,nafikiri hujawahi kupenda kisawa sawa,isikie kwa wenzio tu,unapenda mpaka unachizika,kumuacha huwezi ila cha moto unakiona.
Jipe matumaini tu ila kumuacha aende akatoe utamu kwingine ngumu kumeza
Hako kaujinga, siyo umekaanzisha wewe, bali ni maumbile jinc M/Mungu alivyokusudisha mapenzi yawe.Nashindwa kumuacha bhana,maana mavituz anayonipa napagawa,akiwa mbali napata kisebusebu na kiroho kinapasuka,inabidi nikubali yaishe at least niambulie ngoma ya ukae,kuliko ukame ukinishika nipate wazimu sababu ukame wangu anaeweza kuutoa ni yeye tu hapa duniani bhana,mbona huelewi?enyi wanawake nawapa sifa jamani,sisi wanaume mkitufikisha penye naninhii basi hatuna ujanja tena.
MWACHE TU AENDE..Sasa mkuu,nimefunga nae ndoa ya kikiristu na watoto 3 juu,lakini ni majuto kila leo
Usiuache uendeHii thread ilinisaidia sana mwaka huu
Umesema kweli lakini sina jinsi bhana.Hako kaujinga, siyo umekaanzisha wewe, bali ni maumbile jinc M/Mungu alivyokusudisha mapenzi yawe.
Lakini hakuna kitu kibaya kama kutumikia penzi mfu. Penzi linatakiwa liwe50/50 toka pande zote, pasiwepo mtumwa na mtwana yaani mpendane.
Halafu unaonesha umri wako bado ni "kinda". Haujawatafiti wanawake ukawaelewa na ukapata uzoefu wa kutosha, usingeendelea kubaki na mawazo ya kudhalilishwa kihisia.
"mapishi matamu" siyo kigezo pekee cha kung'ang'ania. Sifa inajazwa pia na upendo na tabia njema.
Usiwe kama mbwa, akiishanasa harufu ya chatu. Kwanza hufahamu kuwa harufu hiyo ni ya adui, lakini hukosa namna ya kukwepa, hujongelea kwenda kumezwa mzimamzima huku akilia. Sasa iwe kwako binadamu mwenye maamuzi!