TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
HakifundishikiMbona kizaramo hatukufundishwa?
Hiyo inakuja automatically.Nifundishe jinsi ya kutongoza
Kabla haiwezekani?Hiyo inakuja automatically.
Duuuuuuh!jamaa ameharibu lugha ya watu
Dodoma nimekaa miaka 7 na naifahanmu hiyo lugha lakini jamaa amekosea mbaya
kifupi ameharibu lugha ya watu bila shaka wenyewe watakuja kurekebisha
jamaa ameharibu lugha ya watu
Dodoma nimekaa miaka 7 na naifahanmu hiyo lugha lakini jamaa amekosea mbaya
kifupi ameharibu lugha ya watu bila shaka wenyewe watakuja kurekebisha
Katumia Google translateDuuuuuuh!
Kwahiyo jamaa katulisha tango pori?
Nilivyokazana kusoma sasa...
Katumia Google translate
Mkuu hebu turekebishie alipokosea. labda katumia google translate hahaajamaa ameharibu lugha ya watu
Dodoma nimekaa miaka 7 na naifahanmu hiyo lugha lakini jamaa amekosea mbaya
kifupi ameharibu lugha ya watu bila shaka wenyewe watakuja kurekebisha