Jifunze Kigogo Kabla Haujahamia Dodoma

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
hqdefault.jpg
2016-08-01 06.27.59.png
 
Uchwara anafoka foka kama amefuta shisha au kichaa cha mbwa kimempanda kichwani,viwanda,bomoa nyumba,sukari,tunahamia,hewa,wanafunzi full vurugu mechi.BANGI,SHISHA,NA MADAWA YAMEMCHANGANYA BORA KUAMIA KWA WAGOGO
 
jamaa ameharibu lugha ya watu
Dodoma nimekaa miaka 7 na naifahanmu hiyo lugha lakini jamaa amekosea mbaya
kifupi ameharibu lugha ya watu bila shaka wenyewe watakuja kurekebisha
 
jamaa ameharibu lugha ya watu
Dodoma nimekaa miaka 7 na naifahanmu hiyo lugha lakini jamaa amekosea mbaya
kifupi ameharibu lugha ya watu bila shaka wenyewe watakuja kurekebisha
Duuuuuuh!
Kwahiyo jamaa katulisha tango pori?
Nilivyokazana kusoma sasa...
 
toko wenyu kukaya chikulomba maweha..(solo wenyu kukaya chikulomba mayoe) ...kama kuna mkalimani atafsili
 
Mleta mada kuna kitu umesahau kugusia. Je wagogo hawazungumzi kiswahili?Je wana tabia za wahaya kule Bukoba? Maana nasikia Bukoba kama hutemi kihaya hata huduma dukani waweza kosa.

Na dodoma ni hivyohivyo? Mimi nina kiswahili bana, kinanitosha!
 
Ndio maana mi nasema kwenda Dodoma tumekurupuka ona sasa, huko mtaani itakuwaje kwenye mawasiliano .......inabidi Serikali itoe KOZI YA KIGOGO.
 
jamaa ameharibu lugha ya watu
Dodoma nimekaa miaka 7 na naifahanmu hiyo lugha lakini jamaa amekosea mbaya
kifupi ameharibu lugha ya watu bila shaka wenyewe watakuja kurekebisha
Mkuu hebu turekebishie alipokosea. labda katumia google translate hahaa
 
Back
Top Bottom