mwandende JR
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,090
- 1,338
Kabla hujafikiria una kibamia jiulize huyo mwanamke wako hana BWAWA? usije ukahangaika kuongeza ukubwa kumbe tatizo ni bwawa la mwanamke wako...na ww sio kibamia
Ndo maana unazidi kubarikiwa jamani na hao walikubali kukwambia madhaifu yao wengine ni wabishi mbayaaaAsante kwa baraka zako kapeace .
Ngoja niokoe nahii ndoa ,,nahisi itakua ndoa ya nane humu JF..
Nataman sana ,nilowaokoa wangetoa ushuhuda ...NAHISI STORY ZOTE ZA KIBAMIA SIJUI HOGO SIJUI BAO NGAPI ZINAMFAA MWANAMKE ,SIJUI DAKIKA NGAPI ZINAFAA ...
hizo mambo zisingekua na nafasi tena humu ....
Tena huyu anakatatizo kadogoooooooooo.
Kuna MTU alinifataga PM , anasema ana mbooo fupi alafu anamwaga ndan ya sekunde nambaya zaidi kurudia tendo nishida !!.
Mpaka mkewe akawa ameacha kumjali yeye nanyumba pia .
Lkn baada yakujadili....jamaaa wiki moja kupita ANANIAMBIA ,,,
*Mkuuu nakatwa kucha ,,nachemshiwa maji ,, ananifurahia kupita kiasi ,, chakula napikiwa kitamu , maisha nimurua ,,nikamwambia haya KUA naaman *.
Ubishi nimbaya Kapeace !!.Ndo maana unazidi kubarikiwa jamani na hao walikubali kukwambia madhaifu yao wengine ni wabishi mbayaaa
Dah watajijuUbishi nimbaya Kapeace !!.
Weka picha mkuu usaidiwe!Habari za wakati huu,
Naombeni ushauri wenu wa namna ya kuongeza uume kwasababu mwanandani wangu amekuwa akitamani sana maumbile yangu ya ongezeke na kuwa makubwa kutokana na kuchoshwa na udogo wa uume wangu.
Naombeni ushauri ila kuokoa penzi langu
Habari za wakati huu,
Naombeni ushauri wenu wa namna ya kuongeza uume kwasababu mwanandani wangu amekuwa akitamani sana maumbile yangu ya ongezeke na kuwa makubwa kutokana na kuchoshwa na udogo wa uume wangu.
Naombeni ushauri ila kuokoa penzi langu
Nikweli.Dah watajiju
Mazoezi ya kegel aubane uchi kwa kushtukiza nyakati za kukojoa mkojo wa kawaidaAnatakiwa kupunguza kina namna gani baada ya kutoka leba.. Msaada plz
Ukumbi" nimecheka mnooNa yeye afanye mbinu apunguze ukumbi
YapAsante mkuu. Hii itasaidia kuokoa jahazi
Hahaha eti NINI??kula sana samaki..
Mkuuu hiyo inakuaje leta details za kutosha basiNjia nyepesi na rahisi kila siku 25 kula mzizi wa mgomba