Jifunze jinsi ya kuongeza uume

Jifunze jinsi ya kuongeza uume

Ila hili suala la wanawake kutoridhika sijui vibamia limekua kubwa sana hasa kipindi hiki ambacho utandawazi umetuweka wazi. Maana kila sehemu matangazo ya kurefusha sijui kutunisha uume kwani zamani wazazi wetu hizi kesi hazikuwepo? Mbona waliishi tuu vzr?

Sema kwa sasa wanawake tunaponzana sisi kwa sisi huko masaloon na kwenye magroup hukooo kutwa kutambiana mihogo mihogo mara lazima mwaname awe na mhogo na sio kibamia.

Kama umeoa mwanamke kichwa maji atakusumbua mno na kuchepuka atachepuka kufwata huo muhogo. Wakati mwanzo alikua anaridhika tuu vzr iweje ghafla aseme humridhishi? Basi na yy afanye njia ya kupunguza kinu chake cha nyuklia.
 
Habari za wakati huu,

Naombeni ushauri wenu wa namna ya kuongeza uume kwasababu mwanandani wangu amekuwa akitamani sana maumbile yangu ya ongezeke na kuwa makubwa kutokana na kuchoshwa na udogo wa uume wangu.

Naombeni ushauri ila kuokoa penzi langu
Utapata kilema bure mkuu, jikubali. Huyo past yake inamsumbua. Kama siyo past basi ana mchepuko wenye mkuyenge hatari.
 
Acha kula bamia zinasababisha vibamia, kula maini ya punda , farasi + maji mengi ck ya kula nyapu andaa na ambulance maana unaweza ukaua
 
Jamani naombeni mnisaidie nina tatizo la kuwa na uume mdogo kwa yeyote mwenye anajua njia ya kuweza kuongeza size ya uume naomba anisaidie nimechoka kudharauliwa jamani please.
 
Jamani naombeni mnisaidie nina tatizo la kuwa na uume mdogo kwa yeyote mwenye anajua njia ya kuweza kuongeza size ya uume naomba anisaidie nimechoka kudharauliwa jamani please.
Ongeza kipato achana na uume. Huo hata paka wanao !!
 
Back
Top Bottom