Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,592
- 18,639
- Muuzaji alituma kwa mara ya pili?Baada ya hapo wakasema nisubiri watatuma tena nisubiri hadi tarehe 3 april. Hadi muda huu sijapata. Nifanyaje?
- Muuzaji alituma kwa mara ya pili?Baada ya hapo wakasema nisubiri watatuma tena nisubiri hadi tarehe 3 april. Hadi muda huu sijapata. Nifanyaje?
Nimekutumia inboxNitumie tracking number nikuchekie chap
Nimekutumia inbox
ukinunua bidhaa ebay, unaichukulia wapi?
Niliagiza ebay. Baada ha hapo sijui nafanyaje. Sijui nasubiri simu au post au ?View attachment 2581163
Huu mzigo uliagiza AliExpress au ebay? Na mbona unaonesha ulishafika tokea January
Niliagiza ebay. Baada ha hapo sijui nafanyaje. Sijui nasubiri simu au post au ?
Boss, Post nimekwenda, hakuna.Huo mzigo umeshafika nenda Posta uliyoandika kwny shipping address haraka sana kabla tracking number haija expire. Ukichelewa shauri zako
Connection hii hapa | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasaNahitaji kusafirisha kutoka marekani, mwenyewe connection.
Hiyo simu ni feck ndio maana inauzwa bei hiyo hata ukiangalia hiyo picha ya simu walio post si S22 Ultra ya Samsung. Mkuu hilo ni tango pori.hii bei ni ya ukweli tazama hii simu na mazumgumzo yetu hara tujaribu kuangalia je ni kweli?View attachment 2155740View attachment 2155742
Habari yako mkuu,Connection hii hapa | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Au inbox, unipe details zaidi.
Sahihi.Sasa huku ebay kuna category ya selling je? Hii hutumikaje au ni mimi nikitaka kuuza bidhaa zangu ndio natumia hii.
Ingia kwenye site husika kuna taratibu zilizowekwa.Kama siyo je nikiwa na maparachichi yangu naweza kuuza kupitia majukwaa haya na taratibu zikoje nchini kwetu?
- Wadau wengine watachangia hiki kipengele.taratibu zikoje nchini kwetu?
|>|> Wapi umekwama?Samahani nataka mnisaidie jinsi gani ya kufungua account ya ebay
Hakiki Rate, linganisha na kiasi ulichoweka kwenye kadi yako.Kwasasa kuna shida gani?
Asante aisee....Umekuwa fasta sana kujibu nikajua labda baada ya siku 3Hakiki Rate, linganisha na kiasi ulichoweka kwenye kadi yako.
\>> Angalia hapa: Leo dola moja ni sawa na 2290. Kweli uchumi unakuwa
- Kupitia vitual card Rate iko juu inafika $1 = 2,700 au zaidi,
- Hivyo miamala inakataa sababu ya kiwango kidogo cha fedha kwenye akaunti yako.
Ufumbuzi : Fanya makadirio makubwa ya Exchange rate, kisha weka kiasi cha kutosha, Utafanikiwa kufanua huo muamala.
Naipataje hii mkuu,bei ganiHakiki Rate, linganisha na kiasi ulichoweka kwenye kadi yako.
\>> Angalia hapa: Leo dola moja ni sawa na 2290. Kweli uchumi unakuwa
- Kupitia vitual card Rate iko juu inafika $1 = 2,700 au zaidi,
- Hivyo miamala inakataa sababu ya kiwango kidogo cha fedha kwenye akaunti yako.
Ufumbuzi : Fanya makadirio makubwa ya Exchange rate, kisha weka kiasi cha kutosha, Utafanikiwa kufanya huo muamala.