Mr_X
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,170
- 2,336
Mkuu inawezekan kununua kitu AliExpress afu kikatumwa kwa kutumia silent ocean bila kuwa na mtu huko chinaHela yako iko salama.
AliExpress mambo yao ni ya kisomi na poa sana.
Mimi kuna order nilifanya ikamaliza miezi mitatu haijafika mfumo ukaconfirm automatic kwamba nimepokea na huku sijapokea chochote.
Nilifungua kesi ya madai na AliExpress Team wakaingilia kati na kunirefund.
Nasubiri siku mzigo ukifika niwalipe ingawaje ni hasara kufanya muamala mara mbili.
Ila kumbuka kuwalipa maana hawa jamaa weupe huwa wanatunza kumbukumbu za wateja wao.
Ukijidai mjanja mjanja kuna siku itakula kwako.
Pia uaminifu wakati mwingine ni mtaji.
Sent from my cupboard using mug