rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,540
- 6,625
CVV ndo security code
Saa ya mkononi na risiti walinipaUlkagiza nini mkuu..?
Ebay
Na aliExpress ipi rahisi zaidi mkuu kufanya marejesho..?
Marvella waweza nijbu swali la juuSaa ya mkononi na risiti walinipa
MM ni mwezi wa master card Ku expire,mf 01 ni january ,02 febr etc. na YY ni mwaka wa master card Ku expire, ambao ni 19Pamoja sana mkuu Daraja
Na hapa kweny MM______/YY_______
Ni sehem ya kujaza kitu gani?
Seller akisha ship mzigo utatumiwa update na Aliexpress, na utapewa tracking number ili uwe unaufuatilia mzigo mpaka utakapofika posta uliyotumiaBaada ya hapo kinafuata nini? Nmeshafanya kununua apo, je kuna ujumbe wowote ntatumiwa au ni vip!View attachment 1144894
Nimetumiwa hivyo...je ndio tracking no hiyo!?Seller akisha ship mzigo utatumiwa update na Aliexpress, na utapewa tracking number ili uwe unaufuatilia mzigo mpaka utakapofika posta uliyotumia
Nenda hapo kwenye delivery information utaweza kuona track number, muda wa percel yako kufika nchini, na mzigo ulipo mpaka sasaNimetumiwa hivyo...je ndio tracking no hiyo!?
Na je nafatiliaje mzigo kwa kutumia tracking no.
Usinichoke mkuu.View attachment 1145277View attachment 1145278
Ukishapata hiyo tracking namba km alivyokuelekeza Mdau hapo juu, download application inaitwa "Track24" au "17 track" zitakusaidia kutrack mzigo wako any time unapotakaNimetumiwa hivyo...je ndio tracking no hiyo!?
Na je nafatiliaje mzigo kwa kutumia tracking no.
Usinichoke mkuu.View attachment 1145277View attachment 1145278
Mimi nilshawahi Agiza mzigo ukasafirishwa na huyo agent lkn update ya Mwisho ni may 16 mzigo ulikuwa posted to counter south Africa, mpaka Leo haujafika tanzania, nilishafungua dispute na nilisharudishiwa fedha zangu, shipper mwingine wa hovyo ni Malaysia postHivi jamani kuna mtu humu ndani aliyewahi kununua bidhaa mtandaoni na shipping yake ikafanywa na kampuni ya Yanwen Economic Air Mail?. Maana kuna siku nilikuwa napitapita mtandaoni nikaona watu wakiwa wameipondea vibaya sana kutokana na huduma zake mbovu za usafirishaji. Na kabla ya hapo, bila kujua nilikuwa nimeagiza parcel tatu na shipping yake kupitia hiyo kampuni toka tarehe 4/5/2019 hadi leo sijapokea mzigo wangu. Ila mizigo nilyosafirishiwa na kampuni zingine ilishafika.
HIZI NI OUTCOME FEEDBACKS NZURI NDUGU MAANA ZITATUSAIDIA KUJUA MAPEMA KABLA HATUJAFIKIA PABAYA AS WHERE YOU ONCE PATH THROUGH... I HOPE MTATUSAIDIA TENA NA TENA HUMU JFMm eBay nachukuaga sana mizigo
Na bidhaa nyingi nauza humu jf
mkuu chief-mkwawa mm natumia box la chuo hivo silipiagi kitu chochote zaidi ya ile shiping fee iliyoandikwa na muuzaji
Kama alivyo sema chief-mkwawa inabidi kuangalia repitation ya seller
Maana mm kama mnakumbuka nilianzisha thread ya "hivi eBay ni genuine market place" sababu niliona iPhone 5 $14.99 na Mac book mpya $24.99
seller alikuwa wa china na akuwa na positive feedback hata moja
Baada ya dakika na baada ya mm kufanya payment nikaambiwa kwa email, item removed
Namshukuru Mungu nili open case nakikawa refunded lkn hadi leo hii refund sijawahi kuiona kwenye Bank statement naliamua chuna tu
HOPE YOU WILL LEARN FROM WHAT HAPPENED TO ME
GREAT LESSON I CAPTURED TODAY.. BROTHER UBARIKIWE SANA. FOR SURE TECHNOLOGY HAIEPUKIKI ULIMWENGU HUU WA SASA HUSUSANI E-COMMERCE.Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.
Mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.
Baada ya wiki 3 nimekipata kioo.
Kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.
JIBU: UncleUber replied; mzigo wako utaupokelea posta au mahala popote ambapo utakuwa umeomba mzigo wako upelekwe; mfano unaweza(kama umelipia gharama za kuuleta kwa njia husika) kuja DHL au USPS n.k utaukuta kwenye ofisi husika, mara nyingi uwa wanakupigia simu kifurushi chako kikifika (hata posta wanapiga simu)
Inabidi tuwe makini aisee, ndo kujifunza hivyo.Mimi nilshawahi Agiza mzigo ukasafirishwa na huyo agent lkn update ya Mwisho ni may 16 mzigo ulikuwa posted to counter south Africa, mpaka Leo haujafika tanzania, nilishafungua dispute na nilisharudishiwa fedha zangu, shipper mwingine wa hovyo ni Malaysia post
Pitia nyuzi za nyuma yameelezwa hayo.hivi jamani nataka kuuliza kwa mfano umenunua bidhaa na ishaletwa unaenda kuichukua wapi na process zinakuwaj
Unalipia kabisa nduguWakuu nimeona kuna kuorder mzgo aliexpress nauliza kama unapoorder mzgo unalipia au utalipa mzigo ukiwa available? ,naomba kufaham n vip ntafahamu kama order ikiwa tayar ?
Shukran nmefanikiwa kulipiaUnalipia kabisa ndugu