Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Msaada kwa mtu ambaye amewai agiza pikiki na vifaa spare part za pikipiki anielekeze mchakatuo wa kodi ya ivo vifaa inavo fanyika
 
Wakuu nimeona kuna kuorder mzgo aliexpress nauliza kama unapoorder mzgo unalipia au utalipa mzigo ukiwa available? ,naomba kufaham n vip ntafahamu kama order ikiwa tayar ?
 
Baada ya hapo kinafuata nini? Nmeshafanya kununua apo, je kuna ujumbe wowote ntatumiwa au ni vip!
Screenshot_2019-07-02-20-53-33.jpeg
 
Seller akisha ship mzigo utatumiwa update na Aliexpress, na utapewa tracking number ili uwe unaufuatilia mzigo mpaka utakapofika posta uliyotumia
Nimetumiwa hivyo...je ndio tracking no hiyo!?
Na je nafatiliaje mzigo kwa kutumia tracking no.

Usinichoke mkuu.
Screenshot_2019-07-03-10-54-38.jpeg
Screenshot_2019-07-03-10-50-28.jpeg
 
Hivi jamani kuna mtu humu ndani aliyewahi kununua bidhaa mtandaoni na shipping yake ikafanywa na kampuni ya Yanwen Economic Air Mail?. Maana kuna siku nilikuwa napitapita mtandaoni nikaona watu wakiwa wameipondea vibaya sana kutokana na huduma zake mbovu za usafirishaji. Na kabla ya hapo, bila kujua nilikuwa nimeagiza parcel tatu na shipping yake kupitia hiyo kampuni toka tarehe 4/5/2019 hadi leo sijapokea mzigo wangu. Ila mizigo nilyosafirishiwa na kampuni zingine ilishafika.
 
Hivi jamani kuna mtu humu ndani aliyewahi kununua bidhaa mtandaoni na shipping yake ikafanywa na kampuni ya Yanwen Economic Air Mail?. Maana kuna siku nilikuwa napitapita mtandaoni nikaona watu wakiwa wameipondea vibaya sana kutokana na huduma zake mbovu za usafirishaji. Na kabla ya hapo, bila kujua nilikuwa nimeagiza parcel tatu na shipping yake kupitia hiyo kampuni toka tarehe 4/5/2019 hadi leo sijapokea mzigo wangu. Ila mizigo nilyosafirishiwa na kampuni zingine ilishafika.
Mimi nilshawahi Agiza mzigo ukasafirishwa na huyo agent lkn update ya Mwisho ni may 16 mzigo ulikuwa posted to counter south Africa, mpaka Leo haujafika tanzania, nilishafungua dispute na nilisharudishiwa fedha zangu, shipper mwingine wa hovyo ni Malaysia post
 
Mm eBay nachukuaga sana mizigo
Na bidhaa nyingi nauza humu jf

mkuu chief-mkwawa mm natumia box la chuo hivo silipiagi kitu chochote zaidi ya ile shiping fee iliyoandikwa na muuzaji

Kama alivyo sema chief-mkwawa inabidi kuangalia repitation ya seller

Maana mm kama mnakumbuka nilianzisha thread ya "hivi eBay ni genuine market place" sababu niliona iPhone 5 $14.99 na Mac book mpya $24.99
seller alikuwa wa china na akuwa na positive feedback hata moja
Baada ya dakika na baada ya mm kufanya payment nikaambiwa kwa email, item removed

Namshukuru Mungu nili open case nakikawa refunded lkn hadi leo hii refund sijawahi kuiona kwenye Bank statement naliamua chuna tu

HOPE YOU WILL LEARN FROM WHAT HAPPENED TO ME
HIZI NI OUTCOME FEEDBACKS NZURI NDUGU MAANA ZITATUSAIDIA KUJUA MAPEMA KABLA HATUJAFIKIA PABAYA AS WHERE YOU ONCE PATH THROUGH... I HOPE MTATUSAIDIA TENA NA TENA HUMU JF
 
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

Mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

Baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

Kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.













JIBU: UncleUber replied; mzigo wako utaupokelea posta au mahala popote ambapo utakuwa umeomba mzigo wako upelekwe; mfano unaweza(kama umelipia gharama za kuuleta kwa njia husika) kuja DHL au USPS n.k utaukuta kwenye ofisi husika, mara nyingi uwa wanakupigia simu kifurushi chako kikifika (hata posta wanapiga simu)
GREAT LESSON I CAPTURED TODAY.. BROTHER UBARIKIWE SANA. FOR SURE TECHNOLOGY HAIEPUKIKI ULIMWENGU HUU WA SASA HUSUSANI E-COMMERCE.
 
Mimi nilshawahi Agiza mzigo ukasafirishwa na huyo agent lkn update ya Mwisho ni may 16 mzigo ulikuwa posted to counter south Africa, mpaka Leo haujafika tanzania, nilishafungua dispute na nilisharudishiwa fedha zangu, shipper mwingine wa hovyo ni Malaysia post
Inabidi tuwe makini aisee, ndo kujifunza hivyo.
 
hivi jamani nataka kuuliza kwa mfano umenunua bidhaa na ishaletwa unaenda kuichukua wapi na process zinakuwaj
 
65 Reactions
Reply
Back
Top Bottom