Jifunze jinsi ya ku install whatsapp Plus

Jifunze jinsi ya ku install whatsapp Plus

Maana nina iphone mkuu ambayo tayar nimesha i jailbreak

Huwezi kuipata bila kuingiza source.ingia cydia then sources click edit hapo juu kuna sehemu ya kuongeza source ingiza hii http://apt.thebigboss.org/repofiles/cydia/ then add source.Baada ya ku add utarud kwenye cydia Nenda kwenye search andika whatsapp+ then search,install kwenye simu.itaenda moja kwa moja kwenye setting. Baada ya hapo fungua setting ya simu itafute whatsapp+, open whatsapp+ shuka mpaka chini utaiona imeandikwa CLONE WHATSAPP click hapo whatsapp+ itakuwa imeingia kwenye homepage ya iphone.hiyo whatsapp+ unaweza kuifungulia kwa namba nyingine ya simu.Hapo utakuwa umeingiza whatsapp + kwenye iphone. ANGALIZO: katika uingizaji huo wa whatsapp+ usiifute whatsapp official kwenye iphone ili iwe na whatsapp aina 2. Ukikwama sehemu usisite kuniuliza. Japo siyo mwelekezaji mzuri wa maandishi.
 
Kaka nakutana hiki kitu baada edit source naku add msg inayokuta ImageUploadedByJamiiForums1409732860.682169.jpg
 
Kaka iyo picha ya tatu haifunguki nashindwa nibonyeze wapi baada yakufika picha ya pili yatatu haionyeshi kama ivi
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1409754761.008639.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1409754761.008639.jpg
    48.3 KB · Views: 159
Kaka iyo picha ya tatu haifunguki nashindwa nibonyeze wapi baada yakufika picha ya pili yatatu haionyeshi kama ivi

Hapo kilichobaki ni kuingiza hiyo bigboss kwa kuclick pale pale kwenye bigboss
 
Asante kwa maujanja ila wenye mchina haituhusu hii
 
Duuu mkuu usichoke kunisaidi mkuu sas ivi nikifungua cydia niki click pale kwenye more packeg source Ile bigboss haiji inafunguka kwenye ile image ya tatu kwahyo nakosa paku type ilo neno whatssap+ ila mwanza ilikuwa inatoke sasa tacjui nin Msaada wako tena
 
Duuu mkuu usichoke kunisaidi mkuu sas ivi nikifungua cydia niki click pale kwenye more packeg source Ile bigboss haiji inafunguka kwenye ile image ya tatu kwahyo nakosa paku type ilo neno whatssap+ ila mwanza ilikuwa inatoke sasa tacjui nin Msaada wako tena

Kwani bigboss source imeingia ?
 
Kama ipo Nenda kwenye search ya cydia then andika whatsapp+ ,ikitokea jaribu kuingiza . ImageUploadedByJamiiForums1409769886.369117.jpg ImageUploadedByJamiiForums1409769914.330871.jpg
 
Kama haujaipata hapo jaribu kwenda kwenye bigboss ifungue then Nenda kwenye tweaks halafu tafuta whatsapp + then install ImageUploadedByJamiiForums1409770552.663398.jpg ImageUploadedByJamiiForums1409770586.271120.jpg ImageUploadedByJamiiForums1409770624.331081.jpg
 
Dahh LG yangu 4G LTE F100s imegoma kabisa kwa hii makitu...mwenye idea basi anipe maujanja
 
mkuu Mwl.RCT kwene techno pale inapokuandikia kwamba imegoma bse kuna app nyngne kama hio tayr installed wakati ushaifuta ile whatsapp yenyewe
 
Last edited by a moderator:
Tumia TECHNO P3 yenyewe haiangalii makunyazi,japo mnaziita techno simu za wachovu lakini zina mambo mengine ya msingi kuliko hizo zenu za bei mbaya.

Kama unataka simu ya show up majukwani endelea na hiyo, lakini kama unataka ma whatsapp, ma instagram dumbukia huku techno p3 simu la kishamba ila limo tu japo halivumi.

Commented using techno p3

Hizo zote mbwembwe vipi ubora wake upoje? Au insta na whatsapp ndo kila kitu kwako
 
Back
Top Bottom