Jide kafunika mbaya ukumbi ulikuwa mdogo

wajojo

Senior Member
Apr 29, 2013
155
83
Aisee yale taliyotabiriwa yametimia,mwana dada lady jaydee alijaza watu wengj sana hadi ukumbi ukawa mdogo mpaka mashabiki.wake wakakasirika,magari mpaka barabarani parking zilikuwa za kuvizia yaani watu walijaa mno kumsuport,kwa kweli ilikuwa faraja sana siku ya jana,MP TO THE P,RAY,SHAMSA,SANDRA,JOHN MNYIKA na wasanii kibao wa bongo movie walikuwepo kutoa support.thank for showing love
 
Mkubwa wala sio siri ongea kwa sauti kubwa jamaa wasikie! Mimi nilikua ni mmoja wao nilikuwepo kwenye hiyo shoo, yaani asikuambie mtu ilikua ni FUNIKA BOVU!
 
Yaani ni nyomi ya kufa mtu, hadi raha.
Lady jay dee 01.jpg
 
Ulimwengu ndo mama, kama kuna mtu anawafanyia fitna wenzie ili warudi nyuma mwisho wa siku ni aibu.Hongera Jide!
 
hii kitu niliomba sana ipigwe pale viwanja vya usitawi wa jamii ama viwanja vya posta,naamini kabisa jide angejaza vile vile
 

kweli dunia haiko fair, makumbusho kiingilio elfu 10000 wakashusha hadi 5000 lakini watu wachache , wengi ni wanyakazi wa clouds amboa waliingia bure, NYUMBANI LOUNGE kiingilio elfu 50000 watu wamefurika pakutema mate hakuna wengine ikabidi warudi home ukumbi hautoshi
 
Clouds wamepigwa goli mbili za chap chap. Alhamisi wameshindwa kutokea kwenye kesi wakati wao ndo walalamikaji, ijumaa walidhani show itadoda, mungu si ruge wala kusaga, nyomi ya kufa mtu! Chezea komando wewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom