SoC02 Jicho la Wataalamu wa Elimu katika Mtaala wa Elimu

Stories of Change - 2022 Competition

Tonytz

Senior Member
Jul 18, 2022
159
1,142
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Kazi nzuri
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Kazi nzuri sanaaa
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Unaweza sanaaa
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Ni kweli , kwani walimu ndiyo wanajua mazingira halisi na nature ya wanafunzi
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Nikupa kura yangu. Umesema kweli
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Msumari wa moto sana. Uzi mkali
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Uzi mkali sana
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Ni kweli lazima mitaala iendane na mazingira yeti,hili itasaidia watoto baada ya kumalizia masomo yao
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai pamoja na maarifa ya kunijalia kuona jambo hili ambalo linahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu mashuleni. Pia nawashukuru sana JF katika kuleta jukwaa hili la uandishi wa maudhui mtandaoni yenye kuleta mabadiliko hususani kwenye nchi yetu ya Tanzania.

Mara kadhaa nimekuwa nikisikia wadau wa elimu wanailalamikia serikali juu ya kutokuwa na ushirikishwaji wa wadau wa elimu au wataamu wa elimu katika kupanga na kuamua mambo mbalimbali kuhusu elimu ikiwemo kuwepo na mitaala inayomwongoza mwanafunzi kutokuwa tegemezi baada ya kuhitimu masomo yake kwa ngazi zote. Hapo awali sikuona kama ni kweli hili jambo lina tija kitaalamu, lakini kumbe hili jambo ni muhimu sana katika kuboresha utoaji wa elimu nchini kwetu Tanzania na kuifanya elimu inayotolewa iwe yenye tija sana kwa watoto wetu.

Kuna siku nilijiuliza kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha falsafa ya “ elimu ya kujitegemea” kumbe alitambua uhalisia na akaona ni vema watu tusome kwa kujifunza kwa vitendo kamili sehemu ya mazingira yetu, lakini nadhani yote haya yalikuwa ni matunda ya ushirikishwaji mkubwa wa wataalamu wa elimu katika kutengeneza mitaala ya elimu.

Swali la kujiuliza hapa ni kuwa kwanini kuwepo na ushirikishwaji wa wataamu na wadau wa elimu katika kuunda mitaala na uboreshwaji wake? Jibu ni rahisi tu, kuwa wadau au wataamu hawa wanaujuzi wa kitaaluma juu ya mifumo ya elimu na wengi wao wapo hasa katika utendaji. Hapa unaweza ukajiuliza hao wadau au wataalamu wa elimu ni wakina nani?

Wataalamu wa elimu ni pamoja na walimu wanaofundisha watoto wetu kwa ngazi zote,au hata watu wengine wenye kuelewa mifumo ya elimu ndani nan je ya nchi. Sasa hapa tunaweza kutaka kujua baadhi ya faida au umuhimu wa kuwashirikisha katika suala zima la uundaji wa mitaala ya elimu. Hapa ikumbukwe kuwa “ Mtaala wa elimu” kwa lugha ya kiingereza huitwa “education curriculum” huo ndio msingi mkubwa wa utoaji wa elimu kwa wanafunzi ambapo unatoa muongozo namna ipi sahihi ya kutoa elimu au kufundisha wanafunzi. Lakini kiuhalisia, mitaala hii haibebi uhalisia unaoendana na mazingira yetu hapa nchini Tanzania. Kuna zana za kiufundishaji amabazo zimeainishwa katika mitaala yetu ambapo kwenye uhalisia vitu hivyo havipo kwenye mazingira yetu na serikali ambaye ndiye mwenye jukumu juu ya upatikanaji wake haijikamilishi juu ya hilo.

Hii ni ukweli kwamba mtaala bado haumpi mwanafunzi uwezo wa kujitegemea na badala yake anakuwa wa kulishwa tu (spoon feeding) hata kama sasa tupo kwenye kumfanya mwanafunzi kuwa ndiyo chanzo cha maarifa lakini kwenye uhalisia vilivyomo sivyo juu ya kuwatekelezea watoto wetu.

Wataalamu wa elimu (ukijumuisha walimu wenye kuifanya kazi hii kwa vitendo), watakaposhirikishwa katika uundaji na uboreshwaji wa mitaala, itasaidia kurahisisha ufundishaji kwani wanaweza kusema mambo muhimu zaidi kuwepo kwenye mitaala ili kuendana na uhalisia. Siwezi kupinga kuwa serikali haifanyi kazi yake kwenye nyanja hii, ila bado ufanishi wake ni jambo teketeke sana.

Kwa sasa sera na mtaala wa elimu yetu naweza kusema kuwa vipo kisiasa sana kwani unaweza kukuta maamuzi yanafanyika juu ya elimu hadi mtu ambaye hajui nyanya hii kiundani anaanza kujiuliza ni nini hiki? Kwa mfano mdogo sana ambao uliweza kuzua taharuki kubwa ni suala la kalenda ya utekelezaji iliyoibuliwa mwaka huu katika kufundisha, ikizitaka shule zifate kalenda hiyo kwenye kufundisha, imeanisha tarehe, wiki, mwezi, mada za kufundisha ndani yam hula, kitu ambacho hakikuwa na tija kiufundishaji. Kalenda ilimtaka mwalimu afundishe tu hivyo ukiichunguza kwa undani hakuna muda wa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi ambapo ndiyo msingi mkubwa wa kufaulisha wanafunzi. Niliona pengine ilihusu shule za serikali tu kumbe ikawa mpaka kwenye shule binafsi. Nikajiuliza nini dhumuni hasa la serikali? Nilipouulizana na baadhi ya watu kila mmoja akawa na jibu lake, lakini kwa walimu ikawa ni kama kuwekwa chumvi kwenye kidonda kibichi, nadhani maumivu yake tunayatambua. Hii yawezekana kuwa ni ishara mojawapo ya kutoshirikishwa kwa wataalamu na wadau wa elimu.

Hapa kuna jambo la kuchekesha kidogo ingawa yawekuwa ni uhalisia. Kipindi nasoma kidato cha sita, kuna mwanafunzi mwenzangu mmoja aliniuliza kwa kunikazia macho sana “eti jamaa hivi tunasoma kilimo cha uvuvi pengine China, au kilimo cha ufugaji kondoo Australia, au upasuaji mbao Gabon” inatusaidia nini? Au hizo nchi zingine ambazo sisi tunasoma shughuli zao za kiuchumi nao wanasoma tuseme kilimo cha uvuvi Tanzania? Mimi nikamjibu, ndugu soma ufaulu mtihani. Tukaishia kucheka tu.

Kiuhalisia nilitamani hata walivyosema kuwepo na somo la historia ya Tanzania ili kujenga uzalendo basi hata sehemu zingine zingegusa uhalisia wa mazingira yetu ili mwanafunzi anapomaliza ajue la kufanya na siyo kuwa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa na serikali. Tufundishe watoto vitu vinavyopatikana kwenye mazingira yetu hapa Tanzania kwa vitendo.

Kwa kuhitimisha, ni ushauri wangu kwa serikali kuwepo na ushirikishwaji wa wadau na wataalamu wa elimu ili kuweza kuifanya elimu yetu inayotolewa iwe na tija kwa kujenga mitaala yenye kubeba uhalishia na kumfanya mwanafunzi asiwe tegemezi pale anapohitimu masomo yake. Elimu ijengwe kwa falsafa zenye utaalamu wa kielimu na siyo falsafa za kisiasa. Serikali ishirikiane wa wananchi wenye weledi kielimu na kujali mawazo yao. Zaidi serikali isiwe ofisini tu, itembee sehemu ya kazi kuona uhalisia wa kile walichoamua.
Tayar
 
Back
Top Bottom