Koma wewe! Nani anakuja akikuomba chakula?Fanyeni kazi, muache udaku.
Tafsiri ya askari kwako ni nini? Ulinipa lini huo uaskari?Kitendo alichofanyiwa Nape ni unajisi mkubwa wa uhuru kuongea na kinatakiwa kulaaniwa na watanzania wote sijajua ni nani kwasasa atakuwa na ubavu wa kulikemea ilo iwe ndani ya CCM au serikali hii. Na ningemshauri amfungulie kesi yule askari akiyemtolea Bastola.
Pepepeepeeee...Mfungaji wa goli la mkono afanyiwa sub,amekuwa oil chafu. Karma
We unafanya nn hapa?Fanyeni kazi, muache udaku.
Nape ni sisimizi tu ndani ya ccm, hata yeye analijua hilo