minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,320
- 22,325
Wakati unatafakari tuleteee majibu ya hoja hz za report ya CAG kwa wizara ya ujenzi kwa ukaguzi wa 13/14.
Kwenye report ya CAG wizara ya magufuli alibaini yafuatayo:
◆TZS 252,975,000,000 Hazikulipwa kwenye kujenga barabara mpya kama ilivyokuwa imepangwa.
◆TZS 3,048,365,229 CAG hakuibaini matumizi yake maana ake hazikuwa na supporting documents yaani vocha ilikutwa yenyewe ikiwa tupu au ikiwa na nyaraka pungufu.
◆TZS 36,638,175,000 malipo ambayo yalifanyika lkn hayakutolewa taarifa yoyote hadi kipindi cha ku-report kinafika.
◆TZS 6,175,786,959 zililipwa kwa wakandarasi ambao hawakuorodheshwa kama wadeni wa wizara.
Yote haya yalifanyika Magufuli akiwa waziri mwenye sifa za kusimamia vema wizara.
Kuwa rais wa nchi hapana magufulu bado labda awe rais wa wakandarasi.
Anatakiwa kuwa jela tu si Rais wa makandarasi kwani hiyo pesa na zile za ununuzi wa vivuko feki pamoja na uuzaji wa nyumba za serikali kisha akajiuzia nyumba kibao peke yake zingine akazigawa kwa michepuko yake.