Jibuni basi bilioni 45 za ADP Monduli zimeenda wapi?

Jibuni basi bilioni 45 za ADP Monduli zimeenda wapi?

Jiulize kisha ujijibu..........nyumba za serikali zilijengwa na pesa za nani na zilipouzwa bei chee pesa ilipelekwa wapi?

Jibu analo Sumaye mkuu.
 
wote pumba mnazungumza kaeni kimya. nyie wote wakeleketwa wa vyama
 
Nyie wataka mabadiliko tuambieni basi hizi bilioni 45 kwa ajili ya mradi wa maji Monduli zimeenda wapi.

Monduli wananchi wanakunywa maji machafu wakigombea na Ng'ombe.

Hii propaganda peleka kwa uncle yako

Maji Monduli yamepelekwa kata ya Moita .,Monduli magharibi na baadhi ya maeneo jirani na Kata ya Mateves na Kisongo na kwa taarifa yako kuna miradi mitatu mikubwa inaendelea mmoja kwa msaada wa World bank , wa pili ni halmashauri ya wilaya imetoa pesa na watatu mradi wa maji wa visima unaofadhiliwa na kanisa

Mtoe data kwa fact na sio kukurupuka
 
Nyie wataka mabadiliko tuambieni basi hizi bilioni 45 kwa ajili ya mradi wa maji Monduli zimeenda wapi.

Monduli wananchi wanakunywa maji machafu wakigombea na Ng'ombe.

.----- Wa babako nani alipewa?......ukimwambia mtu we kipofu na ukaweA kusibitisha huna hatia
 
Huwezi kupata jibu sahihi mpaka Yesu arudi kila mtu anajua Lowassa ni mwizi ila ukipenda chongo hugeuka kengeza
 
Huwezi kupata jibu sahihi mpaka Yesu arudi kila mtu anajua Lowassa ni mwizi ila ukipenda chongo hugeuka kengeza

Hah hah hah ...maeneo kama haya Ukawa huwa hawapiti kama ilivyokuwa kawaida yao.
 
Hii propaganda peleka kwa uncle yako

Maji Monduli yamepelekwa kata ya Moita .,Monduli magharibi na baadhi ya maeneo jirani na Kata ya Mateves na Kisongo na kwa taarifa yako kuna miradi mitatu mikubwa inaendelea mmoja kwa msaada wa World bank , wa pili ni halmashauri ya wilaya imetoa pesa na watatu mradi wa maji wa visima unaofadhiliwa na kanisa

Mtoe data kwa fact na sio kukurupuka

Nothing like that man, niko monduli, sasa nakushangaa unavyojitekenya, we kilaza, monduli huku lowasa kura hapati, wamasai hawataki mchezo tena.
#hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom