Jibuni basi bilioni 45 za ADP Monduli zimeenda wapi?

Jibuni basi bilioni 45 za ADP Monduli zimeenda wapi?

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,535
Reaction score
31,199
Nyie wataka mabadiliko tuambieni basi hizi bilioni 45 kwa ajili ya mradi wa maji Monduli zimeenda wapi.

Monduli wananchi wanakunywa maji machafu wakigombea na Ng'ombe.
 
CCM inahitajika kuhuisha uhai wa kitengo cha propaganda ikiwa ni pamoja na kuwapeleka mafunzo

Ni ngumu sasa kujua propaganda zipi za upinzani zipi za Chama Tawala....

Kuna haja pia ya kuchuja nani akabidhiwe propaganda ili usiwape mavuvuzela kazi ya propaganda
 
Nyie wataka mabadiliko tuambieni basi hizi bilioni 45 kwa ajili ya mradi wa maji Monduli zimeenda wapi.

Monduli wananchi wanakunywa maji machafu wakigombea na Ng'ombe.
Mkuu kwani sisi ni mkaguzi mkuu wa serikali?
 
We ----- nini? Hayo maswali unamuuliza nani hapa? Nenda kamuulize DED au CAG.
Usitumie jina lako jingalao kuhalalisha ujinga, hili ni jukwaa la GT na sio wajinga
 
Last edited by a moderator:
We ----- nini? Hayo maswali unamuuliza nani hapa? Nenda kamuulize DED au CAG.
Usitumie jina lako jingalao kuhalalisha ujinga, hili ni jukwaa la GT na sio wajinga

Acha ushabiki jibu hoja!hapo monduli kuna historia ya DED na DT kugombana kutokana na ufusadi.kama hujui kaa kimya.
 
Last edited by a moderator:
Wakati unatafakari tuleteee majibu ya hoja hz za report ya CAG kwa wizara ya ujenzi kwa ukaguzi wa 13/14.

Kwenye report ya CAG wizara ya magufuli alibaini yafuatayo:

◆TZS 252,975,000,000 Hazikulipwa kwenye kujenga barabara mpya kama ilivyokuwa imepangwa.

◆TZS 3,048,365,229 CAG hakuibaini matumizi yake maana ake hazikuwa na supporting documents yaani vocha ilikutwa yenyewe ikiwa tupu au ikiwa na nyaraka pungufu.

◆TZS 36,638,175,000 malipo ambayo yalifanyika lkn hayakutolewa taarifa yoyote hadi kipindi cha ku-report kinafika.

◆TZS 6,175,786,959 zililipwa kwa wakandarasi ambao hawakuorodheshwa kama wadeni wa wizara.

Yote haya yalifanyika Magufuli akiwa waziri mwenye sifa za kusimamia vema wizara.

Kuwa rais wa nchi hapana magufulu bado labda awe rais wa wakandarasi.
 
Wakati unatafakari tuleteee majibu ya hoja hz za report ya CAG kwa wizara ya ujenzi kwa ukaguzi wa 13/14.

Kwenye report ya CAG wizara ya magufuli alibaini yafuatayo:

◆TZS 252,975,000,000 Hazikulipwa kwenye kujenga barabara mpya kama ilivyokuwa imepangwa.

◆TZS 3,048,365,229 CAG hakuibaini matumizi yake maana ake hazikuwa na supporting documents yaani vocha ilikutwa yenyewe ikiwa tupu au ikiwa na nyaraka pungufu.

◆TZS 36,638,175,000 malipo ambayo yalifanyika lkn hayakutolewa taarifa yoyote hadi kipindi cha ku-report kinafika.

◆TZS 6,175,786,959 zililipwa kwa wakandarasi ambao hawakuorodheshwa kama wadeni wa wizara.

Yote haya yalifanyika Magufuli akiwa waziri mwenye sifa za kusimamia vema wizara.

Kuwa rais wa nchi hapana magufulu bado labda awe rais wa wakandarasi.

Hahhahhha mkuuu umeua hapo hawajui na wala hawatajibu maana ni matahira wakubwa
 
Acha ushabiki jibu hoja!hapo monduli kuna historia ya DED na DT kugombana kutokana na ufusadi.kama hujui kaa kimya.

Soma post #3 hapo juu, ili ufanye propaganda lazima uwe na elimu ya unachotaka kusema. Wewe hata hujui kuwa kwa post yako unaivua nguo serikali ya chama chako unayoitetea.
Ushauri; ungeenda Shule kwanza achana na JF utaikuta tuu na utakuwa na uwezo mzuri wa kuanzisha jambo linalo weza kujadiliwa
 
Wakati unatafakari tuleteee majibu ya hoja hz za report ya CAG kwa wizara ya ujenzi kwa ukaguzi wa 13/14.

Kwenye report ya CAG wizara ya magufuli alibaini yafuatayo:

◆TZS 252,975,000,000 Hazikulipwa kwenye kujenga barabara mpya kama ilivyokuwa imepangwa.

◆TZS 3,048,365,229 CAG hakuibaini matumizi yake maana ake hazikuwa na supporting documents yaani vocha ilikutwa yenyewe ikiwa tupu au ikiwa na nyaraka pungufu.

◆TZS 36,638,175,000 malipo ambayo yalifanyika lkn hayakutolewa taarifa yoyote hadi kipindi cha ku-report kinafika.

◆TZS 6,175,786,959 zililipwa kwa wakandarasi ambao hawakuorodheshwa kama wadeni wa wizara.

Yote haya yalifanyika Magufuli akiwa waziri mwenye sifa za kusimamia vema wizara.

Kuwa rais wa nchi hapana magufulu bado labda awe rais wa wakandarasi.

Mkaguzi anaweka wazi ubadhirifu wote huu,waziri hata kuwajibishwa hakuna!its a shame
Nikijumlisha na miradi ya ujenzi ya sh bil 500 ambayo kutokana na penalty tutailipia bil 1400 nachoka kabisaaaaa!
 
Hahhahhha mkuuu umeua hapo hawajui na wala hawatajibu maana ni matahira wakubwa

Kwani report ya CAG inasema nini kuhusu halmashauri ya monduli?
 
Nyie wataka mabadiliko tuambieni basi hizi bilioni 45 kwa ajili ya mradi wa maji Monduli zimeenda wapi.

Monduli wananchi wanakunywa maji machafu wakigombea na Ng'ombe.

Billion 251 wizara ya Ujenzi zimeenda wapi?zile pesa za Rada zilizorejeshwa zimeenda wapi? Chenji bunge la katiba zimeenda wapi? Pesa za escrow, buzwagi, mabehewa feki, kivuko feki cha 1978 pesa iliyozodi imeenda wapi?
 
Billion 251 wizara ya Ujenzi zimeenda wapi?zile pesa za Rada zilizorejeshwa zimeenda wapi? Chenji bunge la katiba zimeenda wapi? Pesa za escrow, buzwagi, mabehewa feki, kivuko feki cha 1978 pesa iliyozodi imeenda wapi?

Monduli kumepelekwa bilioni zaidi ya mbili kwa ujenzi wa hospitali kilichojengwa ni majengo mawili tu.
 
Nyie wataka mabadiliko tuambieni basi hizi bilioni 45 kwa ajili ya mradi wa maji Monduli zimeenda wapi.

Monduli wananchi wanakunywa maji machafu wakigombea na Ng'ombe.

Lowasa leo kafunika mbaya Sumbawanga,hakuna kulala mpaka magogoni
 
Back
Top Bottom