Jibu maswali yote;

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,261
QN1. kama hela haitoki kwenye miti, kwanini benki zina matawi?


QN2. kwa nini gundi haigandi kwenye chupa yake?


QN3. kama hatutakiwi kuendesha gari tukiwa tumelewa, kwa nini bar kuna car packing?


QN4. kama neno abbreviation lina maana ya ufupisho, kwa nini lenyewe ni refu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom