Tamama
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 887
- 1,106
Nilikupenda miaka zaid ya 10 iliyopita wakati huo nipo Olevel nawe upo Advance ulivyofika chuo ukaniona mtoto kwa kauli yako mwenyewe ukasema tuachane
leo baada ya muda mrefu kupita ukapata no yangu tukasalimiana na kubahatika kuonana japo haikuwa planed ilitokea tu wewe kuwepo eneo ambalo nipo
Tukapiga story nikakuonesha mpaka ninapokaa ukiwa kama mshkaji tu cause nilishasahau yalotokea, eti baada ya wiki jioni moja unanambia unanisubiri maeneo ya nyumbani kwangu kaka nimekuita? Nakwambia sipo maeneo ya nyumbani unanambia utanisubiri tu kaka nimekuomba? Nikakujibu hata nikirudi nitakuwa nimechoka mana mda huo ilikuwa inaenda sa tano usiku eti kwa confidence kabisa unanambia haina shida utalala kwangu mpka kesho yake mchana unikande...
Hivi, tumepotezana zaid ya miaka10 hujui niko vp kimahusiano kwa sasa kinachokuaminisha ni nini? pili umenikuta naishi mazingira ya kuridhisha yenye almost kila kitu muhimu ndani kaka unajua nani karahisisha hayo? Mtoto wa kiume unapata wapi nguvu ya kulala kwa msichana ambae si mpenz wako? Ukitatuliwa marinda utakuwa umeonewa?
Wakati uko chuo ulipanga nyumba hukurusu hata siku moja mimi kupajua kwako Mungu ambayo si mwanadamu uka disco na kwenda kusoma nje sasa toka urudi huna hata kazi na unaishi kwenu leo kiherehere cha kulala kwangu kinakujaje ndugu?
leo baada ya muda mrefu kupita ukapata no yangu tukasalimiana na kubahatika kuonana japo haikuwa planed ilitokea tu wewe kuwepo eneo ambalo nipo
Tukapiga story nikakuonesha mpaka ninapokaa ukiwa kama mshkaji tu cause nilishasahau yalotokea, eti baada ya wiki jioni moja unanambia unanisubiri maeneo ya nyumbani kwangu kaka nimekuita? Nakwambia sipo maeneo ya nyumbani unanambia utanisubiri tu kaka nimekuomba? Nikakujibu hata nikirudi nitakuwa nimechoka mana mda huo ilikuwa inaenda sa tano usiku eti kwa confidence kabisa unanambia haina shida utalala kwangu mpka kesho yake mchana unikande...
Hivi, tumepotezana zaid ya miaka10 hujui niko vp kimahusiano kwa sasa kinachokuaminisha ni nini? pili umenikuta naishi mazingira ya kuridhisha yenye almost kila kitu muhimu ndani kaka unajua nani karahisisha hayo? Mtoto wa kiume unapata wapi nguvu ya kulala kwa msichana ambae si mpenz wako? Ukitatuliwa marinda utakuwa umeonewa?
Wakati uko chuo ulipanga nyumba hukurusu hata siku moja mimi kupajua kwako Mungu ambayo si mwanadamu uka disco na kwenda kusoma nje sasa toka urudi huna hata kazi na unaishi kwenu leo kiherehere cha kulala kwangu kinakujaje ndugu?