Jiandaeni anakuja tanzania.

Jiandaeni anakuja tanzania.

Ni mdada mmoja hivi mwenye asili ya Kikerewe!!

So what? Huku niishiko wako wengi tu wa kutoka Tanzania, we unamfah mwanamuziki maarufu aitwa Mr ZuX? Ni mtz anaefanya poa huku majuu, lakini bila kutoa maelezo vzr sio rhs kumfahamu. Nimeuliza kwa sababu sijamfaham, what makes her popular? Kuwa na asili ya ukerewe is nonsense
 
Kumbe unawajua watoto wa Hicho kisiwa walivyo Hatari sana!!!

Watoto wa Ukerewe kama maharage ya Mbeya vile, maji mara moja tu...

Kama na huyo mrembo hataacha asili mtafaidi sana vijana. Asuma sana kwakweli...
 
Me nikajua kiongozi wa boko haramu wa Nigeria! hapa petu kuna school bus linapitaga na mabinti wa kihindi tu.
 
Back
Top Bottom