chikaputula
Member
- Jan 21, 2014
- 28
- 3
Kumbe huyu dada ni mkara?
Tungempokea lakini daah,mkara bwana.
(In nyerere's voice)
Kumbe huyu dada ni mkara?
So what? Huku niishiko wako wengi tu wa kutoka Tanzania, we unamfah mwanamuziki maarufu aitwa Mr ZuX? Ni mtz anaefanya poa huku majuu, lakini bila kutoa maelezo vzr sio rhs kumfahamu. Nimeuliza kwa sababu sijamfaham, what makes her popular? Kuwa na asili ya ukerewe is nonsense
Mkuu mbona povu,
Ni mdada mmoja hivi mwenye asili ya Kikerewe!!
Tujiandae kitu gani? Tudindishe kabisa?
Hahaaa mwaka huu hatutaki mkara!!!
Ni mcheza mieleka wa huko marekani
Zaidi ya hiyo tunaweza kupata mapumziko ya siku kwa kumkaribisha maaanaaa mhhhhh!!!!!!