Mkuu natumaini uko Nyumbani sa hivi ni alfajili ndo maana umesema hivyo namaanisha kumpokea anakuja kutalii kwenye Mbuga zetu uko Nyumbani
Hatukumpokea Oprah Winfrey huyu tumpokee kwa lipi?
Wewe unaweza usimpokee lakini kuna watu wanashauku ya kumuona bi mdada huyu mwenye asili ya Kisiwa cha Ukelewe Ukala lakini ndo hivyo tena mzazi wake akakimbilia kwenye Kisiwa Kingine nje ya nchi.
Wewe unaweza usimpokee lakini kuna watu wanashauku ya kumuona bi mdada huyu mwenye asili ya Kisiwa cha Ukelewe Ukala lakini ndo hivyo tena mzazi wake akakimbilia kwenye Kisiwa Kingine nje ya nchi.
Umenikumbusha Hotuba ya Baba wa Taifa