kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Uko wapi mkuuVijiwe vya wachonga tyre na watengeza katambuka yale mabaki ni dili pia
Uko wapi mkuuVijiwe vya wachonga tyre na watengeza katambuka yale mabaki ni dili pia
Hahahah huu ni upuuzi, haina tofauti na kuokota makopo
Msamehe bure mkuu. Sio wote wamewahi kupitia mitihani ya hii dunia hadi wakakosa njia ya kutokea na kutumia option yoyote mbele ya macho yao ili kusurvive.Hongera zako wewe uliyepata kikubwa ...lakini hata hao waokota mako po nao ni binadamu na kupitia hayo makopo wanayookota familia sao zinaishi, watoto wanasoma na kupata mahitaji ya msingi
Ni kupitia hayo makopo unayoyadharau ndio yametengeneza baadhi ya vitu unavyomiliki..si vema kudharau kazi za wengine, maisha hayana formula
Ni kweli kabisa kaka ... Mungu ampe rehema ya kuwa na tafakuri kwa haya aliyonenaMsamehe bure mkuu. Sio wote wamewahi kupitia mitihani ya hii dunia hadi wakakosa njia ya kutokea na kutumia option yoyote mbele ya macho yao ili kusurvive.
Tshs 70 mpaka 100 kwa kilo moja, ili upate kwa wingi inabidi ununue kwa 10-20 kwa kilo, mh
Ngoja tuwashtue ndugu,jamaa na marafiki wachangamkie hiyo fursa, ni fursa nzuri tu,aliyepitia Vita ya kutoboa ktk maisha 'from zero' kabisa anajua thamani ya kupata pesa hata Kama ni Mia moja...
Nyaya zake pia hutumika kutengeneza majiko ya mkaaVijiwe vya wachonga tyre na watengeza katambuka yale mabaki ni dili pia
Mkuu tushirikishane katika hili dili, una kazi gani na hizi matirio.?Picha nilizoweka ni mizigo watu wanaleta daily... Kumbuka sio lazina iwe tairi tena nzima. Ni tairi mbovu au mipira yake ya nfani au vipande vyake