Jiajiri kupitia hizo malighafi

Jiajiri kupitia hizo malighafi

IMG_20210823_181534_172.jpg
 
Hahahah huu ni upuuzi, haina tofauti na kuokota makopo
Hongera zako wewe uliyepata kikubwa ...lakini hata hao waokota mako po nao ni binadamu na kupitia hayo makopo wanayookota familia sao zinaishi, watoto wanasoma na kupata mahitaji ya msingi
Ni kupitia hayo makopo unayoyadharau ndio yametengeneza baadhi ya vitu unavyomiliki..si vema kudharau kazi za wengine, maisha hayana formula
 
Back
Top Bottom