Jiajiri kupitia hizo malighafi

Mkuu usafilishaji ni juu ya nani? Na vipi kuhusu mikoani mnafika?

Vipi kuhusu Tyre za baiskeli piki piki na bajaji je hazitakiwi?

πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
 
Inamana kilo sh. 70 hapo sijafika eneo LA kuuzia. Hela yote naicha kwenye usafiri.
 
Pm inagoma mkuu ...pls naomba contact nikuchki tuongee. ... thanks kama ombi lang utalijali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…