Sikwepeshi
Senior Member
- Jan 26, 2012
- 162
- 18
Habari zenu,wakuu.awali ya yote napenda kumshukuru mwenyez mungu kwa kunipa pumzi ya uhai baada ya mkasa wa jana,
wapendwa mliopo dar es salaam jana mida ya saa 3 ucku nilipanda daladala inayotoka mtongani kuelekea mwenge, tulipofika maeneo ya mbele kdg na mwananyamala hospitali mara wakaingia watu wa3 wenye visu mmoja alipandia dirishan wawil waliingilia mlangoni.
Gari haikuwa na watu wengi sababu wengi walikuwa wameshuka njiani,ndani ya gari walikuwepo wenzao wengine wawili hivyo walifikia watu 5,walimpiga sana konda sijui kama amepona wakachukua ela zote,baada ya hapo wakaanzana na sisi abiria.
Ithnx God cku zote anafanya njia ilikuwa kama movie kumbe kulikuwa na mwanajeshi kwenye gari aliwashughulikia wote wa5 kwa wakati mmoja na iyo ndo ilikuwa pona yetu dereva hakusimamisha gari akidai kuwa iyo ndo tabia yao na ukisimama wanakuja wengi, at first abiria tulikuwa pulzed tukizan labda ni wapiga debe wamekosana na konda, tuwe makini na daladala za usiku pamoja na abiria tunaopanda nao gari.
wapendwa mliopo dar es salaam jana mida ya saa 3 ucku nilipanda daladala inayotoka mtongani kuelekea mwenge, tulipofika maeneo ya mbele kdg na mwananyamala hospitali mara wakaingia watu wa3 wenye visu mmoja alipandia dirishan wawil waliingilia mlangoni.
Gari haikuwa na watu wengi sababu wengi walikuwa wameshuka njiani,ndani ya gari walikuwepo wenzao wengine wawili hivyo walifikia watu 5,walimpiga sana konda sijui kama amepona wakachukua ela zote,baada ya hapo wakaanzana na sisi abiria.
Ithnx God cku zote anafanya njia ilikuwa kama movie kumbe kulikuwa na mwanajeshi kwenye gari aliwashughulikia wote wa5 kwa wakati mmoja na iyo ndo ilikuwa pona yetu dereva hakusimamisha gari akidai kuwa iyo ndo tabia yao na ukisimama wanakuja wengi, at first abiria tulikuwa pulzed tukizan labda ni wapiga debe wamekosana na konda, tuwe makini na daladala za usiku pamoja na abiria tunaopanda nao gari.