Jiadhari na uvamizi wa daladala Dar es salaam!!

Sikwepeshi

Senior Member
Jan 26, 2012
162
18
Habari zenu,wakuu.awali ya yote napenda kumshukuru mwenyez mungu kwa kunipa pumzi ya uhai baada ya mkasa wa jana,
wapendwa mliopo dar es salaam jana mida ya saa 3 ucku nilipanda daladala inayotoka mtongani kuelekea mwenge, tulipofika maeneo ya mbele kdg na mwananyamala hospitali mara wakaingia watu wa3 wenye visu mmoja alipandia dirishan wawil waliingilia mlangoni.

Gari haikuwa na watu wengi sababu wengi walikuwa wameshuka njiani,ndani ya gari walikuwepo wenzao wengine wawili hivyo walifikia watu 5,walimpiga sana konda sijui kama amepona wakachukua ela zote,baada ya hapo wakaanzana na sisi abiria.

Ithnx God cku zote anafanya njia ilikuwa kama movie kumbe kulikuwa na mwanajeshi kwenye gari aliwashughulikia wote wa5 kwa wakati mmoja na iyo ndo ilikuwa pona yetu dereva hakusimamisha gari akidai kuwa iyo ndo tabia yao na ukisimama wanakuja wengi, at first abiria tulikuwa pulzed tukizan labda ni wapiga debe wamekosana na konda, tuwe makini na daladala za usiku pamoja na abiria tunaopanda nao gari.
 
Hakusimamisha gari mlishuka vipi? au alisimamisha polisi?
 
pole.waliopigwa na mwanajeshi walipelekwa polisi au iliishijae?

aliwapiga teke wawili wakatoka nje,wengine wawil kupitia dirishani,akabaki mmoja ambaye tulivyofika mbele abiria tulishuka na kupanda gari nyingne huku wao yaani dereva,konda,mwizi na mjeshi wakielekea polis
 
Habari zenu,wakuu.awali ya yote napenda kumshukuru mwenyez mungu kwa kunipa pumzi ya uhai baada ya mkasa wa jana,
wapendwa mliopo dar es salaam jana mida ya saa 3 ucku nilipanda daladala inayotoka mtongani kuelekea mwenge, tulipofika maeneo ya mbele kdg na mwananyamala hospitali mara wakaingia watu wa3 wenye visu mmoja alipandia dirishan wawil waliingilia mlangoni.

Gari haikuwa na watu wengi sababu wengi walikuwa wameshuka njiani,ndani ya gari walikuwepo wenzao wengine wawili hivyo walifikia watu 5,walimpiga sana konda sijui kama amepona wakachukua ela zote,baada ya hapo wakaanzana na sisi abiria.

Ithnx God cku zote anafanya njia ilikuwa kama movie kumbe kulikuwa na mwanajeshi kwenye gari aliwashughulikia wote wa5 kwa wakati mmoja na iyo ndo ilikuwa pona yetu dereva hakusimamisha gari akidai kuwa iyo ndo tabia yao na ukisimama wanakuja wengi, at first abiria tulikuwa pulzed tukizan labda ni wapiga debe wamekosana na konda, tuwe makini na daladala za usiku pamoja na abiria tunaopanda nao gari.
Nenda tena kajipange upya kutunga stori.
Konda amepigwa sana hata hujui kama atapona,
Huyo mwanajeshi anaangalia tu konda anapigwa kwa kiwango hicho cha wewe kutojua kama atapona na kuporwa pesa?
Mlipofuatwa nyinyi kupigwa ndo Mwanajeshi akawapiga wote hao watano na visu vyao??

Mmh!! Ngumu kumesa...
 
Huyo mwanajeshi inafaa apewe tuzo ya kukabiliana na majambazi waliobeba visu kuokoa maisha ya Watanzania.

Mlijuaje ni Mwanajeshi? pengine ni raia jasiri tu na kwa ujasiri wake mkafikiri kuwa ni mwanajeshi?
 
Nenda tena kajipange upya kutunga stori.
Konda amepigwa sana hata hujui kama atapona,
Huyo mwanajeshi anaangalia tu konda anapigwa kwa kiwango hicho cha wewe kutojua kama atapona na kuporwa pesa?
Mlipofuatwa nyinyi kupigwa ndo Mwanajeshi akawapiga wote hao watano na visu vyao??

Mmh!! Ngumu kumesa...

it waz a pulze,nadhani unatambua makonda wengi walivyo wagomvi ata mjeshi alifikiri wanafahamiana,na ilikuwa kitu cha gafla ,mno walipotugeukia ndo tukagundua ni wezi ila at first we thought ni wapiga debe a,bao walidhurumiwa,at first kuna watu walianza kuwaamua wakati wanampiga konda ila walivyotoa visu kila mmoja alisita na mjeshi hakuwa kati ya waliojarib kuamua.
Huenda nikawa siko poa kwenye kueleza bt nadhani infomatiom delivered,nilitaka kuwaweka aware
 
Katika Tukio kama hili linahitaji kujitoa mhanga. umoja ndio njia pekee ya kukabiliana na matatizo kama hay. Kipindi mwanajeshi anapambana na hao wahuni ilitakiwa na nyie abiria wote mshirikiane naye, sasa kama nyie wote mlimuachia mjeshi peke yake ndio maana wezi wengine walifanikiwa kukimbia.

Tujifunze kushirikiana kwani kukaa tu na kuangalia movie haisaidii fikiria je, kama asingelikuwepo huyo aliyejitoa ina maan mlikuwa mnasachiwa hadi huko nanii....

TUWE NA UMOJA WAJAMENI KUMBUKA "UMOJA NI NGUVU NA SILAHA YA MNYONGE NI UMOJA"


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Huyo mwanajeshi inafaa apewe tuzo ya kukabiliana na majambazi waliobeba visu kuokoa maisha ya Watanzania.

Mlijuaje ni Mwanajeshi? pengine ni raia jasiri tu na kwa ujasiri wake mkafikiri kuwa ni mwanajeshi?

kwa alichokifanya na dhahiri atakuwa mwanajeshi,na kama sio basi amepitia mafunzo ya jeshi,ndo mana nimemuita mjeshi,raia wa kawaida asingeweza vile ndugu yangu,na cha ajabu kingne hakutaka stori na mtu ilikuwa ni amri tu.mmmmm yule lazima ni mjeshi coz alijiamin mno
 
Katika Tukio kama hili linahitaji kujitoa mhanga. umoja ndio njia pekee ya kukabiliana na matatizo kama hay. Kipindi mwanajeshi anapambana na hao wahuni ilitakiwa na nyie abiria wote mshirikiane naye, sasa kama nyie wote mlimuachia mjeshi peke yake ndio maana wezi wengine walifanikiwa kukimbia.

Tujifunze kushirikiana kwani kukaa tu na kuangalia movie haisaidii fikiria je, kama asingelikuwepo huyo aliyejitoa ina maan mlikuwa mnasachiwa hadi huko nanii....

TUWE NA UMOJA WAJAMENI KUMBUKA "UMOJA NI NGUVU NA SILAHA YA MNYONGE NI UMOJA"


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

mh ni kweli sikuona mtu mwingne mwenye ule ujasiri,binafsi ckuweza abiria wote tuliishia kujikunyata sehemu moya,dah poor us next tyme we should do somethng kwakweli
 
Nenda tena kajipange upya kutunga stori.
Konda amepigwa sana hata hujui kama atapona,
Huyo mwanajeshi anaangalia tu konda anapigwa kwa kiwango hicho cha wewe kutojua kama atapona na kuporwa pesa?
Mlipofuatwa nyinyi kupigwa ndo Mwanajeshi akawapiga wote hao watano na visu vyao??

Mmh!! Ngumu kumesa...

Hata mimi ninashangaa Mwanajeshi kuwapiga Jamaa pale tu walipoanza kuwashambulia abiria.
Sasa ni kwa nini hakuingilia kati mwanzoni kabisa wakati walipoanza kumpiga Konda?

Kweli hii stori ina walakini..
 
Hata mimi ninashangaa Mwanajeshi kuwapiga Jamaa pale tu walipoanza kuwashambulia abiria.
Sasa ni kwa nini hakuingilia kati mwanzoni kabisa wakati walipoanza kumpiga Konda?

Kweli hii stori ina walakini..

Lakini huyo mjeshi anaijua kazi yake. kwanza alikuwa anasoma vita. Na huenda kama angejiingiza toka mwanzo huwezi jua mle ndai ya basi kundi la wezi wapo wangapi. Huenda jirani yake naye ni mmoja wao. Kama angeiingia kijinga hapo angevamiwa na kupigwa vibaya kama wapo wengi.

Alipohakikisha kuwa waliokaa kwenye viti wote ni abiria ndio akasimama kupambana.

HEKO MJESHI, KWANI INGELIKUWA HAWA WENZETU MAKAMANDA WA AFANDE SAID MWEMA; HAPO ANGERUKA DIRISHANI KUKIMBIA.

Kwani wameshazoea kututishia sisi tusio na silaha kwa kutupiga mabomu au maji washa. Lakini makamanda wa Said Mwema wakiona umeshika bisibisi tu na yeye hana bomu la machozi au gari la maji washa huwa wanajifungia ktk vituo vya polisi au kuingia chini ya meza.

ACHENI NISEME, HATA MKINIMWAGIA MAJI WASHA ACHENI NISEME, HATA MKINI....... ACHENI NISEME.....

JESHI LA POLISI LINALEA NA WANASHIRIKIANA NA WATENDA MAOVU, NA NDIO MAANA MAJAMBAZI - RUSHWA - MAFISADI NA UOVU MWINGINE HAUISHI TANZANIA.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Habari zenu,wakuu.awali ya yote napenda kumshukuru mwenyez mungu kwa kunipa pumzi ya uhai baada ya mkasa wa jana,
wapendwa mliopo dar es salaam jana mida ya saa 3 ucku nilipanda daladala inayotoka mtongani kuelekea mwenge, tulipofika maeneo ya mbele kdg na mwananyamala hospitali mara wakaingia watu wa3 wenye visu mmoja alipandia dirishan wawil waliingilia mlangoni.

Gari haikuwa na watu wengi sababu wengi walikuwa wameshuka njiani,ndani ya gari walikuwepo wenzao wengine wawili hivyo walifikia watu 5,walimpiga sana konda sijui kama amepona wakachukua ela zote,baada ya hapo wakaanzana na sisi abiria.

Ithnx God cku zote anafanya njia ilikuwa kama movie kumbe kulikuwa na mwanajeshi kwenye gari aliwashughulikia wote wa5 kwa wakati mmoja na iyo ndo ilikuwa pona yetu dereva hakusimamisha gari akidai kuwa iyo ndo tabia yao na ukisimama wanakuja wengi, at first abiria tulikuwa pulzed tukizan labda ni wapiga debe wamekosana na konda, tuwe makini na daladala za usiku pamoja na abiria tunaopanda nao gari.

Mkuu umeachia hewani hewani hujatumalizia baada ya yule mjeda kuwashughulikia walikamatwa na kupelekwa Police au ilikuwa je?
 
Back
Top Bottom