zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Katika Amri kumi mungu aliwapa binadamu kupitia Mtume wake Moses...Jaman Amri ya 6 iko migongoni mwa watu,Amri ngumu hii..
Duuuuh zubeda leo umewaza nini? Unajiandaa kuivunja nini? Kama vip liwalo na liwe njoo ni kuno ng'oneze jinsi ya kuifanya rahisi.
Wewe kaa mbali,my wife atakusikia
Kila mtu anajua vipaumbele vyake na wewe hiki ndicho kipaumbele chako. Mungu akusaidie kwa maana ukiitekeleza amri ya kwanza mpaka ya tatu inakupa nguvu ya kutekeleza zingine zote.
Ongea na aliyeweka hizo amri alegeze masharti.
Una ham ya zinaa?
Ole wako uzini!
Hivi hii amri bado iko valid?
Hakuna amendment? Manake Sir God akiloba stepu tu atajikuta peponi kabaki yeye na kina Mussa tu manake mmh! Kwa mawazo na matendo, hali sio hali!
Sikubaliani. Amri ngumu kuliko zote ni ya Nane; namaanisha inayokataa kusema uwongo! Wajameni hakuna asiyesema uwongo; hata wale ambao sasa hawana uwezo wa kuzini bado hawana uwezo wa kujizuia kabisa kabisa kusema uwongo. Tatizo la amri ya sita ni kwamba ili uitende ni lazima ushirikishe mtu wa pili - na hakuna siri ya watu wawili. Lakini uwongo mtu anaweza kuutenda kwa siri ya nafsi yake akiwa kijana nakazeeka hadi akafa bila kugundulika!
Ndiyo maana wahenga walisema AFADHALI MCHAWI KULIKO MWONGO; hawakusema AFADHALI MCHAWI KULIKO MZINZI!
My hubby zebedayo una hamu ya kuivunja?
My wife we upo sina tatizo,hawa vijana bachelor kama huyu ruta ita mmaliza.