zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Unakumbuka nini kuhusu kombolela?
Heheeheh duh madame my sista hatarii kitu cha mafichooni. Mi nilikua sipendagi etii umewataja watu karibia woooteanabaki mmoja unalitafuta weeee au wawil basi sa zingne wanakuja woote wawil wanakuchanganya afu mmoja ana butua nilikua hadi nalia sazinginenamna hii?
Heheeheh duh madame my sista hatarii kitu cha mafichooni. Mi nilikua sipendagi etii umewataja watu karibia woooteanabaki mmoja unalitafuta weeee au wawil basi sa zingne wanakuja woote wawil wanakuchanganya afu mmoja ana butua nilikua hadi nalia sazingine
Yan yan yan madamee hapohapo aisee kubadilisha nguo nilikua nalia nakwambia mikonfidensiiii mie nataja kombolela babu aspirin kumbe bishanga looh wazinga teena bt kweli tuliopo uswahilin ndo tulifaidYani beibe nasty we acha tuu!!!
Afu dizaini kama wamebaki wawili kuna ule mtindo wa kubadilishana nguo,
basi anatokeza mtu huko kwa kujiamini kbs unamtaja kombolela Kibena!!,
kumbe sio Kibena wala nini,ni Asha kavaa blouse ya Kibena akifika anabutua,tunakombolewa.
KOMBOLELA ILIKUWA RAHA SANA JAMANI.
Ila watoto wa geti nahisi hawakupata raha hii.
Watu lazima wabaki mwisho bila kujitokeza hawaonekani wamepotelea wapi, usiulize.
Watu lazima wabaki mwisho bila kujitokeza hawaonekani wamepotelea wapi, usiulize.
kombolela,.wanaokuja kuokoa 1 ana vumbi mgongoni...ha ha ha
kombolela,.wanaokuja kuokoa 1 ana vumbi mgongoni...ha ha ha
kombolela,.wanaokuja kuokoa 1 ana vumbi mgongoni...ha ha ha
Sikuhz hakunaga hiyo makitu. Watoto wanakazana na tuition...
sikuhz hakunaga hiyo makitu. Watoto wanakazana na tuition...