zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Leo kwenye Jf Gumzo nawaitaji niliowataja hapo juu,Watueleze Mikakati yao ndani ya jamvi hili kila waamkapo.,
Na kabla hawaja log in huwa wanajiandae kujibu hoja zile zinazo ishambulia Serikali moja kwa Moja...
wazee wa Kukanusha Uwanja ni wenu...
Na kabla hawaja log in huwa wanajiandae kujibu hoja zile zinazo ishambulia Serikali moja kwa Moja...
wazee wa Kukanusha Uwanja ni wenu...