miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,106
Acha uchokozi nitagusa nikitimiza miaka 30. Juzi nilifikisha 23 kwa hiyo bado miaka 7 kamili ya uhuru bila kugusa. Unanionea gele?
ha ha ha nataka uniguse mimi
Acha uchokozi nitagusa nikitimiza miaka 30. Juzi nilifikisha 23 kwa hiyo bado miaka 7 kamili ya uhuru bila kugusa. Unanionea gele?
Akha mie, usivunje rekodi yangu! Najua mnatuonea gere sie ambao hatujawahi kugusa na wale ambao hawajawahi kuguswa (KE). Huu ni wakati wetu wa kutamba na nyie mjinyonge mlokwisha gusa na kuguswa. Kweli ni raha iliyoje kujiona unatimiza miaka 30 hujagusa!!!! Kwa sasa ukitaka kuwa sista huwezi, ukitaka kuolewa kwa mahari kubwa huwezi kwa vile ushaguswa.ha ha ha nataka uniguse mimi
ha ha haha nani kasema mahari kubwa muhimu hapa zipo dukani naweka tu nataka uniguse bwana ndo nini lakiniAkha mie, usivunje rekodi yangu! Najua mnatuonea gere sie ambao hatujawahi kugusa na wale ambao hawajawahi kuguswa (KE). Huu ni wakati wetu wa kutamba na nyie mjinyonge mlokwisha gusa na kuguswa. Kweli ni raha iliyoje kujiona unatimiza miaka 30 hujagusa!!!! Kwa sasa ukitaka kuwa sista huwezi, ukitaka kuolewa kwa mahari kubwa huwezi kwa vile ushaguswa.
Kama huwezi subiri hiyo miaka 7 basi haitakuwa bahati yako. Naogopa kuvunja ahadi yangu na wazazi wanguha ha haha nani kasema mahari kubwa muhimu hapa zipo dukani naweka tu nataka uniguse bwana ndo nini lakini
Kama huwezi subiri hiyo miaka 7 basi haitakuwa bahati yako. Naogopa kuvunja ahadi yangu na wazazi wangu
We мтамч мвола нчегещекi члGeFаFаиша кша кsщанiгi
Nasubiri iwe lita tano ili wazaliwe watoto 50 kwa mara moja. Kutogusa rahasiku hiyo ukipewa utatoa lita ya naniiii ha haha huwiii jamani maisha raha sana
odı ızɐʞ ısɐq ɐʞɐʍɯ ɐǝʞǝɹǝɥsnʞ opu ɐɯɐʞ ?ɐnƃuızɐuɯ ɐuoqɯ
Nasubiri iwe lita tano ili wazaliwe watoto 50 kwa mara moja. Kutogusa raha
Katibu mmoja wa chama cha siasa nchini unataka aniue? Acha kuwatakia wenzako kifoha ha ha haha aya bana lita tano umekuwa tembo wewe
Katibu mmoja wa chama cha siasa nchini unataka aniue? Acha kuwatakia wenzako kifo
Ni pm nikufundishe kiswahili..... yaonekana umetoka GHUANZHOU你為什麼說這個頭。輪,但?
你為什麼說這個頭。輪,但?
Miss Chagga naona umebadilisha avatar, ilikua nyekundu sasa naona ni ua la blue hiv.... ndo unamaana gani?anatafuta mchumbaに第16代アメリカ合衆国大統領に就任した。