Kulinganisha JF na Facebook ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu.Huko facebook hakuna la zaidi ila ni kuambiana tu mmependeza jamani,lakini ukija humu sidhani kama kuna kitu utakosa katika nyanja zote za maisha na hata ukitaka Breaking News hapa ndio penyewe,Mfano mimi nipo nje ya nchi lakini mabomu ya Gongo la Mboto yalipolipuka taarifa ya kwanza niliipata kwa sms toka kwa JF member nikakimbilia kwenye Pc yangu lakini katika mitandao yote ni JF pekee iliyotoa live coverage wengine wote walitoa report kesho yake,na huo ni mfano tu sasa utalinganisha JF na hiyo takataka?
Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.
Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba).
Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito.
I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS
Facebook?!
Mambo yote Jf.
Fb mapenzi zaidi single unit. Unprogramed memberz.
Jf complex unit covers all spheres of life. Programed.
Account ya FB au JF? Kama ni JF wasiliana na moderators!Naomba msaada wenu, password haifungui account
Hapa ndio nakomaga na watizedi.....wanaojiita ma great thinker....Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.
Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba).
Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito.
I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS
forums is an online discussion site where people can hold conversations in the form of posted messages.They differ from chat rooms in that messages are at least temporarily archived. Also, depending on the access level of a user and/or the forum set-up, a posted message might need to be approved by a moderator before it becomes visible
---from wikipedia.....Users may create a personal profile, add other users as friends, and exchange messages, including automatic notifications when they update their profile. Additionally, users may join common interest user groups, organized by workplace, school or college, or other characteristics
Nimependa hapo kwenye nyekundu mkuu.Kule FB ulikuwa unatumia ID gani?
Hapa nimefurahi kuijua jinsia yako....siku zote nlikuwa natamani niijue jinsia yako.
Tukirudi kwenye mada....ni makosa na hatari kubwa sana kuzilinganisha FB na JF.......Vitu viwili tofauti kabisa! Ni sawa na kulinganisha JWTZ na Mgambo wa City.
Kule FB ulikuwa unatumia ID gani?
Hapa nimefurahi kuijua jinsia yako....siku zote nlikuwa natamani niijue jinsia yako.
Tukirudi kwenye mada....ni makosa na hatari kubwa sana kuzilinganisha FB na JF.......Vitu viwili tofauti kabisa! Ni sawa na kulinganisha JWTZ na Mgambo wa City.
Kuweni waangalifu na hizi forums na social networks are forms of an addiction na watu wengi wamefukuzwa kazi hivyo basi msisahau kufanya kazi kwa faida ya familia zenu. Hapa JF na kule FB hamlipwi mshahara hivyo kushinda siku nzima sio fahari au kusema unakaa wiki nzima humu sio sifa hii ni sehemu ya kupumzikia, kubadilisha mawazo hamna zaidi of course na kupima unachokizungumza usije kuvunja sheria tu.
Gud advoce. Food for thoughts
Nilijiunga FB lakini baada yakuona ujinga mwingi nilijitoa...sikubahatika kuona faida yoyote ukilinganisha na JF...