miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Watoto warembo kama ninyi
me kunifiadi inabidi ujipange sana sichukui offer ndogo ndoggo kama shoping sijui out na saluni hivi ni vya kawaida sana ......
Watoto warembo kama ninyi
Lengo kuu la social media ni mapenzi,haya mengine ni nakadhalika
Kwa maelezo yako ni kuwa;
1. JF haijaendelea!
2. Unakuja JF kutafuta demu.
3. Kwani huko "fb" uliko hakuna social network kama hizo zinazoweza kukusaidia ku "chart"?
Halafu umesema kwa watu kama "ninyi," kina nani? Pili, ufisasi unaouongelea hapa ni upi?
Hafi sasa tu, ma- Great thinker huku ndani ni wakuhesabika(na Tafadhali wakuu, tusianze topic nyingine GT ni nani)! Sasa iwapo utatuchanganyia na "mfumo huo wa direct chart kama fb" itakuwa tabu zaidi ya sasa.
.
Halafu mkuu nadhani kizungu nilifundishwa 'chat' vile?
Na kiswahiki nilifundishwa 'suala'.
Me mwenyewe sijui pakuaandika post ni wap japo nipo mda (japo si mref saana) nmetafuta sijapaona au kwasababu natumia nokia c1??heb nielekezeni mdogo wenu
acha hizo
daah,hapa unajiona umekata nyangaaaaa kwel....
upupuuu mtupuuu😛ound: