Jf undeni mfumo wa direct chart kama fb,

Jf undeni mfumo wa direct chart kama fb,

mwakichi

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2011
Posts
417
Reaction score
97
WAKUU
nadhan Jf ikiendelea kidogo kupata teknolojia ya kuweka direct chart kwa watu kama sisi itakua ni faida sana

hasa katika swala la kutafta demu humu ndani itakua kama baiskeli mtetemkon...mtukumbuke na sisi mafisadi jaman
 
Unataka kuturudisha miaka hiyooo tena ambapo hiyo makitu ilikuwepo na watu walichat sana...

WAKUU
nadhan Jf ikiendelea kidogo kupata teknolojia ya kuweka direct chart kwa watu kama sisi itakua ni faida sana
 
Unajua maana ya Forum kweli??...
 
Iliwahi kuwepo hapa wakaitoa baada ya kuonekana inamaliza bandwidth!
 
Haya sasa Jf kuwa Fb???kisaa kupata damn..
 
Hivi ni Chart au ni Chat...
Ongea kiswahili chote kama English inapiga chenga!!
 
Wakuu mimi mgen humu

nijuzen jins ya kupost na kupata update

pia PM n nini? Maana naskia tu n pm

pia inbox zapatikana wap
 
WAKUU
nadhan Jf ikiendelea kidogo kupata teknolojia ya kuweka direct chart kwa watu kama sisi itakua ni faida sana

hasa katika swala la kutafta demu humu ndani itakua kama baiskeli mtetemkon...mtukumbuke na sisi mafisadi jaman

hii chart mkuu unataka pie au histogram au line mkuu..
 
Hivi ni Chart au ni Chat...
Ongea kiswahili chote kama English inapiga chenga!!

Fid q kuna nyimbo moja ameweka mstar anasema,pumbav maneno ya kijinga hunasa upesi..

Cha msingi kuelewa
 
WAKUU
nadhan Jf ikiendelea kidogo kupata teknolojia ya kuweka direct chart kwa watu kama sisi itakua ni faida sana

hasa katika swala la kutafta demu humu ndani itakua kama baiskeli mtetemkon...mtukumbuke na sisi mafisadi jaman


Kwa maelezo yako ni kuwa;
1. JF haijaendelea!
2. Unakuja JF kutafuta demu.
3. Kwani huko "fb" uliko hakuna social network kama hizo zinazoweza kukusaidia ku "chart"?

Halafu umesema kwa watu kama "ninyi," kina nani? Pili, ufisasi unaouongelea hapa ni upi?

Hafi sasa tu, ma- Great thinker huku ndani ni wakuhesabika(na Tafadhali wakuu, tusianze topic nyingine GT ni nani)! Sasa iwapo utatuchanganyia na "mfumo huo wa direct chart kama fb" itakuwa tabu zaidi ya sasa.
.
Halafu mkuu nadhani kizungu nilifundishwa 'chat' vile?
Na kiswahiki nilifundishwa 'suala'.
 
Back
Top Bottom