JF udaku this MARCH

JF udaku this MARCH

Wadau japo kwa kifupi nimeona niwatiririshie news za udaku japo kiduchu kabla hazijapoa, Kwa hisani ya TANMO Bishanga na Elizabeth Dominic...

I. Siri ya sosoliso kusafiri kwenda Tanga ghafla yawekwa hadharani. Dawa za mapenzi zatajwa, babu D.C ahusishwa. Mwenyewe akana, asema hajui lolote.

II. Ujio wa Xi Jinping wazua jambo juu ya Erickb52, kazi aliyokuwa akifanya akiwa China yawekwa wazi, Yagundulika kuvunjika kwa kikombe ndiko kulimrudisha bongo, Pia mtoto aliyezaa na dada wa Jackie chan aelezewa, Erickb52 ashikwa na kigugumizi alipoulizwa.

III. Sakata la Mulugo kufoji vyeti lachukua sura mpya, Slave aweka mambo hadharani, kumbe aliwahi fundishwa na Mulugo form one C, mwenyewe akiri alikuwa Kilaza. Paloma na gfsonwin wabanwa, yagundulika Mulugo alikuwa staff mwenzao, wao wakwepa kiaina.

IV. Cheti cha ndoa cha sweetlady chazua songombingo, yagundulika sehemu ya jina la mume imeandikwa kwa penseli, yasemekana huwa anafuta na kuandika tena, mwanaye agundulika kuwa na vyeti viwili vya kuzaliwa vinavyoonesha baba wawili tofauti, sio nitonye wala Nicas Mtei aliyeandikwa, Filipo atajwa....

Itaendelea..........
Hahahahahaaaaa
Aisee Baba V hii ya sweetlady imenivunja mbavu sana aisee lol Nimecheka sana kiukweli hahahahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Slave, lililo sokoni kwa sasa ni mimi kumpa talaka 6 potea Arushaone, huku bado ananipenda kufuru bin dad.
Kumbe hajui Switi wangu Ben Saanane ni makamu wa rais ajae.

mh Madame B mbona watuchanganya..? aliempa talaka mwenzie ni nani hapa..? mbona Arushaone anadai alikukuta kwa mganga wa kizungu akajua unataka kumsusu.. akakupa talaka rejea..?
 
Last edited by a moderator:
Wadau japo kwa kifupi nimeona niwatiririshie news za udaku japo kiduchu kabla hazijapoa, Kwa hisani ya TANMO Bishanga na Elizabeth Dominic...

I. Siri ya sosoliso kusafiri kwenda Tanga ghafla yawekwa hadharani. Dawa za mapenzi zatajwa, babu D.C ahusishwa. Mwenyewe akana, asema hajui lolote.

Naomba isomeke na kueleweka kwamba safari yangu ya kwenda Lushoto ilihujumiwa kwa kiasi cha asilimia mia..! Hivyo hata kama ni kweli kulikuwa na mpango wa kuwapo kwa mpango huo basi mafanikio yalikuwa ni 0%..
 
Inaendelea..........

IV. Baada ya mafanikio ya Mulugo kupata uwaziri bila kuwa na vyeti vinavyoeleweka walimu Paloma na gfsonwin waandaa maandamano kwenda kwa raisi, wanadai na wao wapewe uwaziri, polisi wapiga marufuku, wanadai taarifa za kiinteligensia zinaonyesha kuna watu watapoteza kucha na meno.

V. manoah apata kigugumizi kupeleka kusudio la ndoa yake na mimisa mbele ya mwenyekiti licha ya kutakiwa kufanya hivyo takribani wiki tatu zilizopita, yadaiwa Ciello na Maureen ndo chanzo, Andindilile ashangilia, adai ni dalili njema kwake..

VI. Zimwi la multiple Ids lamuandama Mr Rocky, yasemekana alitumia ID nyingine ili ampate ladyfurahia ikabuma, sakata latinga kwa Mwenyekiti, Mentor aapa kuroga mtu, Mamndenyi akataa kulizungumzia....

VII. Baada ya Slave kubainika alifundishwa na Mulugo aibu kuu yamnyemelea, adaiwa kumdanganya Dena Amsi kuwa alisoma nje, Dena Amsi adai hata hivyo alimuelewa kuwa alisomea nje ya darasa (yaani chini ya mti)


Itaendeleaa..............
 
Last edited by a moderator:
Naomba isomeke na kueleweka kwamba safari yangu ya kwenda Lushoto ilihujumiwa kwa kiasi cha asilimia mia..! Hivyo hata kama ni kweli kulikuwa na mpango wa kuwapo kwa mpango huo basi mafanikio yalikuwa ni 0%..

Tunasubiri matokeo....
 
Sakata la Madame B kugonganisha mabwana lachukua sura mpya.

Wahusika wanena mazito. Mwandishi wetu Baba V naye ahusishwa!!!

tena Baba V ndio alikuwa mshika mapembe.
 
Last edited by a moderator:
Sakata la Madame B kugonganisha mabwana lachukua sura mpya.

Wahusika wanena mazito. Mwandishi wetu Baba V naye ahusishwa!!!

tena Baba V ndio alikuwa mshika mapembe.
 
Last edited by a moderator:
Sakata la Madame B kugonganisha mabwana lachukua sura mpya.

Wahusika wanena mazito. Mwandishi wetu Baba V naye ahusishwa!!!

Mwe...! ikiwa mwautenda hivi mti mbichi Baba V je itakuaje kwa mti mkavu Arushaone..?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom