Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,444
Unafurahiaaa...!!!, nahisi siku ukinionja wewe hapa CC watu wataipata fresh aisee...
Mara ngapi?
Au unafukia ma-gape!
Unafurahiaaa...!!!, nahisi siku ukinionja wewe hapa CC watu wataipata fresh aisee...
dooooooooooooooo!!!!! Arushaone pole sana komaa sasa na Dena Amsi afu Madame B unatwanga mtu na rungu zito namna hiyo kisa??? makamu wa rais Ben Saanane ama kweli pesa ni sabuni ya roho.Slave, lililo sokoni kwa sasa ni mimi kumpa talaka 6 potea Arushaone, huku bado ananipenda kufuru bin dad.
Kumbe hajui Switi wangu Ben Saanane ni makamu wa rais ajae.
dooooooooooooooo!!!!! Arushaone pole sana komaa sasa na Dena Amsi afu Madame B unatwanga mtu na rungu zito namna hiyo kisa??? makamu wa rais Ben Saanane ama kweli pesa ni sabuni ya roho.
Inaendelea..........
IV. Baada ya mafanikio ya Mulugo kupata uwaziri bila kuwa na vyeti vinavyoeleweka walimu Paloma na gfsonwin waandaa maandamano kwenda kwa raisi, wanadai na wao wapewe uwaziri, polisi wapiga marufuku, wanadai taarifa za kiinteligensia zinaonyesha kuna watu watapoteza kucha na meno.
V. manoah apata kigugumizi kupeleka kusudio la ndoa yake na mimisa mbele ya mwenyekiti licha ya kutakiwa kufanya hivyo takribani wiki tatu zilizopita, yadaiwa Ciello na Maureen ndo chanzo, Andindilile ashangilia, adai ni dalili njema kwake..
VI. Zimwi la multiple Ids lamuandama Mr Rocky, yasemekana alitumia ID nyingine ili ampate ladyfurahia ikabuma, sakata latinga kwa Mwenyekiti, Mentor aapa kuroga mtu, Mamndenyi akataa kulizungumzia....
VII. Baada ya Slave kubainika alifundishwa na Mulugo aibu kuu yamnyemelea, adaiwa kumdanganya Dena Amsi kuwa alisoma nje, Dena Amsi adai hata hivyo alimuelewa kuwa alisomea nje ya darasa (yaani chini ya mti)
Itaendeleaa..............
afu wewe Passion Lady nakuombea dua mbaya ili nijimilikishe mwenyewe.
zidisha maombi labda
mungu anaweza kukuskia!haha!