Jf Udaku Jumapili hii...

Nampenda na sina mpango wa kumuacha,B stands for.....So nilikua nae before.Ha ha

Unajua kuwa juzi kasajiliwa komandoo kiplagati26 !?? nimelikuta file lao mezani kwa gfsonwin , afu jamaa anachukua mafunzo ya ukomandoo Kwa anko Hu jintao, jiandae kupigwa kareti za ki cantonese...
 
Last edited by a moderator:
Huja pata habar za @Olld vampire na za Zion Daughter??

Zion Daughter kawekwa kinyumba na aliyekuwa mgombea uraisi 2010 kupitia chama flani hivi. Yule aliesema akipata uraisi atajenga kiwanda cha BINDUKI bongo kila mtu awe na yake ili tuheshimiane, afu naskia ni mja mwepesi tayari
 
Last edited by a moderator:
Zion Daughter kawekwa kinyumba na aliyekuwa mgombea uraisi 2010 kupitia chama flani hivi. Yule aliesema akipata uraisi atajenga kiwanda cha BINDUKI bongo kila mtu awe na yake ili tuheshimiane, afu naskia ni mja mwepesi tayari

khaaaaa salaaale kwa hiyo alikua ananzuga?? Na huyo vempaya mzee??
 
Last edited by a moderator:
Unajua kuwa juzi kasajiliwa komandoo kiplagati26 !?? nimelikuta file lao mezani kwa gfsonwin , afu jamaa anachukua mafunzo ya ukomandoo Kwa anko Hu jintao, jiandae kupigwa kareti za ki cantonese...

huyu mambo yake yanaratibiwa na kamati ya UWJ nikiiongoza mimi mwenyewe.
 

Hujambo Baba V
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…