Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,542
- 12,402
Wadau wa JF Tanga naomba kuwa mgeni wenu katika jiji hilo wenyewe mwasema waja leo waondoka mwakani.
Ntakuwepo Tanga kuanzia tarehe 14-18 Juni 2011. Siku nne nikiwa Tanga naomba mnijuze mahala poa pa kula bata na pia sehemu poa kwa Accodation yny bei isiyozidi 25,000/- iliyokaribu na Nyinda classic hotel-Raskazone, ntapenda pia kujua clubs na sehemu za Misosi hasa pweza na zaidi kbs ni Company yenu nikiwa huko.
Asanteni!
Ntakuwepo Tanga kuanzia tarehe 14-18 Juni 2011. Siku nne nikiwa Tanga naomba mnijuze mahala poa pa kula bata na pia sehemu poa kwa Accodation yny bei isiyozidi 25,000/- iliyokaribu na Nyinda classic hotel-Raskazone, ntapenda pia kujua clubs na sehemu za Misosi hasa pweza na zaidi kbs ni Company yenu nikiwa huko.
Asanteni!