TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
wewe nawe... yule anahitaji psychiatrist kumuundia takwimu zakeRev. Samahani sana, hivi, Malaria sugu atakuwa wapi kwenye statistics? Just out of coriosity
wewe nawe... yule anahitaji psychiatrist kumuundia takwimu zakeRev. Samahani sana, hivi, Malaria sugu atakuwa wapi kwenye statistics? Just out of coriosity
Aiseeee hongereni sana
Hasa FirstLady1 walau umewawakilisha ooposite gender
Unajua Gender yake wee?
Unajua Gender yake wee?
Mchungji Sasa akijiita 1st lady manake si anakojoa akiwa amechuchumaa ???
Kuwa makini na majina ya JF! Nimeishaimbisha jina hapa kumbe ni Mwanaume wa miraba minne na robo! Do not take anything serious kwenye hizi internet social network forums
JF Stats
Top 10 Posters
1 Mzee Mwanakijiji 21,349
2 Nyani Ngabu 19,836
3 Bubu Ataka Kusema 14,101
4 Field Marshall ES 12,918
5 Rev Masanilo 11,218
6 Abdulhalim 11,155
7 Asprin 10,519
8 Teamo 10,089
9 MaxShimba 9,921
10 Fidel80 9,606
Top 10 Thanked
1 Mzee Mwanakijiji 10,745
2 MaxShimba 6,413
3 Asprin 4,284
4 Invisible 4,222
5 Acid 3,768
6 Teamo 3,477
7 FirstLady1 3,437
8 Rev Masanilo 3,094
9 Nyani Ngabu 3,060
10 Pasco 2,792
NB: Hapo Mchungaji sijachanganya na zile ID zangu zingine za kizushi.
Sasa mkichkachua zaid kimahesabu. Gawanya idadi ya post kwa thanks ulizopata.
Jibu utakalopata ni uwiano wa thanks to comments/post
Rev masa katika kila post zako nne (4) lazima upate thanks 1ja.
Nyani ngabu katika kila post zako sita (6)lazima upate thanks 1ja
Mwanakiji yeye katika post mbili (2) lazima apate thank 1ja
Wazee wa fikra big up
Mchungaji, haaa haaa afadhali na wewe ume-declare kama NN.
Sasa waombe Mods waziunganishe kwenye Rev ili umpite Mzee MKJJ.
Big up man! Ndo maana tulikupa "Tuzo Ya Ujasiri" aka "Tuzo Ya Uwazi Na Ukweli"
JF Stats
Top 10 Posters
1 Mzee Mwanakijiji 21,349
2 Nyani Ngabu 19,836
3 Bubu Ataka Kusema 14,101
4 Field Marshall ES 12,918
5 Rev Masanilo 11,218
6 Abdulhalim 11,155
7 Asprin 10,519
8 Teamo 10,089
9 MaxShimba 9,921
10 Fidel80 9,606
Top 10 Thanked
1 Mzee Mwanakijiji 10,745
2 MaxShimba 6,413
3 Asprin 4,284
4 Invisible 4,222
5 Acid 3,768
6 Teamo 3,477
7 FirstLady1 3,437
8 Rev Masanilo 3,094
9 Nyani Ngabu 3,060
10 Pasco 2,792
NB: Hapo Mchungaji sijachanganya na zile ID zangu zingine za kizushi.
Aisee kwa nini mimi umesema ktk kila post zangu sita napata thanks moja? That's disrespectful man...lol
hahahahha nimechakachua kimahesabu bana magazijuto.
Nimechukua Post 19,858 nikagaw kwa thanks 3,069 ndo nikapata kadirio au wastani. Kwa nini unaiona kama ni disrespect ?
Unataka kununua BAN kwa bei ya cheeee!