JF Secret Society

JF Secret Society

sisi na magwanda wote kitu kimoja...tukikutana tunakuwa kitu kimoja...tukiachana kila mtu anabaki na itikadi zake!!
our lovely rejao pamoja na magamba yako unapendwa sana hapa jf kila mtu rejao rejao watu hawalali humu kwa ajili yako
 
Siku 13 zakuwemo humu umejiona unamawazo kuliko ulio wakuta??
mpaka uwakusanye watu kisiri????kama ni siri ungeleta mada kisiri sasa unaianika hapa kweupe utaishia kusema ila kama nia yako nikujuana na member wa JF mtafute mwenyekiti wa JF Farm,JF saccos huko utakutana na wwanachama wa society hizo na uwe nakiingilio chakujiunga kila laheri!!
 
Siku 13 zakuwemo humu umejiona unamawazo kuliko ulio wakuta??
mpaka uwakusanye watu kisiri????kama ni siri ungeleta mada kisiri sasa unaianika hapa kweupe utaishia kusema ila kama nia yako nikujuana na member wa JF mtafute mwenyekiti wa JF Farm,JF saccos huko utakutana na wwanachama wa society hizo na uwe nakiingilio chakujiunga kila laheri!!

Umenena vyema mkuu!! Jamaa sijui kakurupuka kutoka wapi!! Umemshauri vyema aende Jf saccos
 
Siku 13 zakuwemo humu umejiona unamawazo kuliko ulio wakuta??
mpaka uwakusanye watu kisiri????kama ni siri ungeleta mada kisiri sasa unaianika hapa kweupe utaishia kusema ila kama nia yako nikujuana na member wa JF mtafute mwenyekiti wa JF Farm,JF saccos huko utakutana na wwanachama wa society hizo na uwe nakiingilio chakujiunga kila laheri!!
Kaka umekosa la kunena? Nilikuwepo toka kitambo, but I registered a couple of weeks ago.
 
Ingependeza kuona tunaanzisha ka society ka Siri, tukutane mayb once or twice a year without revealing our IDs. Is it possible? If Yes, hw can we do it? It has to be Strictly JF members only.

Sijawahi kuona wazo baya kama hili hapa JF! Kwamba eti tukutane "kwa siri," bila kuwa na ajenda yoyote ya kuongelea! Hivi unajua kuwa wanaJF wamesambaa dunia nzima, yaani, Marekani, Uingereza, Australia, RSA, nk? Wewe unataka uwakusanye "kwa siri" ili uwafanyie nini? Utawakusanyia nchi gani? Na huo "usiri" utatekelezwaje endapo tayari unachoki-post hapa ni public? Yaani mawazo yako yamekaa kimagamba magamba kweli!
 
Ingependeza kuona tunaanzisha ka society ka Siri, tukutane mayb once or twice a year without revealing our IDs. Is it possible? If Yes, hw can we do it? It has to be Strictly JF members only.

Sijawahi kuona wazo baya kama hili hapa JF! Kwamba eti tukutane "kwa siri," bila kuwa na ajenda yoyote ya kuongelea! Hivi unajua kuwa wanaJF wamesambaa dunia nzima, yaani, Marekani, Uingereza, Australia, RSA, nk? Wewe unataka uwakusanye "kwa siri" ili uwafanyie nini? Utawakusanyia nchi gani? Na huo "usiri" utatekelezwaje endapo tayari unachoki-post hapa ni public? Yaani mawazo yako yamekaa kimagamba magamba kweli!
Ucwe unakurupuka kuongea kabla yakufuatilia, mwanzo nilisema hili linawezekana kwa msaada administrators tu, they can pm details of the event nakuifanya kuwa Siri. Tunajua kuwa JF is operating beyond tz borders ndio maana ckusema tukutane Tz, hata hivyo clazima wote tukutane na hata ikibidi wanajamii wote tukutane tunajua fika haitawezekana kutokana na majukumu yetu ya kila cku.
 
kushindana magari, viatu, nguo tulizovaa, simu zetu na mambo mengine ya kijinga tu, nothing more.
Mara nyingi watu wanapenda sana kujionyesha, hasa wale wanaojiona bab kubwa eti walisomaga marekani. Pumbavu sana

hahahahaha! Bujibuji umeua. Lol.
 
Ingependeza kuona tunaanzisha ka society ka Siri, tukutane mayb once or twice a year without revealing our IDs. Is it possible? If Yes, hw can we do it? It has to be Strictly JF members only.Natumaini utaacha kukurupuka. Ungejibu YES or NO hakuna ambaye angekulaumu
Unawaona wenzio wenye uelewa mkubwa
Mi staki . Naogopa
 
Ucwe unakurupuka kuongea kabla yakufuatilia, mwanzo nilisema hili linawezekana kwa msaada administrators tu, they can pm details of the event nakuifanya kuwa Siri. Tunajua kuwa JF is operating beyond tz borders ndio maana ckusema tukutane Tz, hata hivyo clazima wote tukutane na hata ikibidi wanajamii wote tukutane tunajua fika haitawezekana kutokana na majukumu yetu ya kila cku.

Umesahau kusema tukutane ili iweje! Sasa mini na wewe nani kajurupuka?
 
Isnt JF a SS? Mi siwajui membaz wake kwa sura, na ID zao najua ni kama yangu. Lakini tunajadili mambo, tunakosoana na kuchekeshana. Haitoshi?
Kama unataka mikutano ya siri nenda pale dsm nyuma ya ubalozi wa zambia barabara ya sokoine, utawakuta watu wa namna hiyo
 
Back
Top Bottom