wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Imekula kwetuNdugu walinzi wa jf usiku wa manane poleni sana.
Ahsante kwa taarifa mkuu. Ngoja niingie PM fasta nikamate namba za wachuchu wa MMU kwa ajili ya ukaguzi wa weekend...Wakuu,
Leo usiku wa manane, kati ya saa 8 na saa 10, tutakuwa na marekebisho kadha wa kadha katika miundombinu yetu yanayoweza kupelekea kusimama kwa baadhi ya huduma (na wakati flani huduma zote kusimama).
Hii ni katika kuimarisha zaidi miundombinu yetu na kuongeza uwezo wa kuhimili mikikimikiki yoyote inayoweza kutokea. Zoezi hili liliwahi kufanywa miaka 2 iliyopita lakini safari hii linatarajiwa kuchukua takribani dakika 30 hadi saa 1.
Tunapenda kutoa taarifa hii mapema ili mtu akiona kuna vitu haviko sawa muda huo asishtuke; ajue tupo kazini.
Endapo kutatokea lolote linalohitaji kushirikishana, tunaomba fuatilia kurasa zetu za Telegram - JamiiForums na Twitter - https://twitter.com/JamiiForums
Tunawashukuru kwa ushirikiano wenu katika kufanikisha zoezi hili.
/ Jamii Forums
Mkuu inabidi mambo yetu leo tumalize mapema au tuwe wapole tuWadau wangu wa usiku wa manene leo siku ni fupi simiss Saint Anne No Escape Goddess Juakali jr Drizzle Rowin Mjep yna2 mtu chake Iceberg9 Ncha Kali Jurjani troublemaker chiqutitta fyddell YOUNGBLOOD Kataskopos dah list ni ndefu mta watag na wengine
we are back, muda mfupi Sana nimehakikisha big up modesNdugu walinzi wa jf usiku wa manane poleni sana.
Hahaha, asante mkuu wangu.Ilikuwa effective , kwa muda kama ilivyosemwa katika taarifa
Imesaidia, zama ni tofauti. Mara paap unakutana na ''Telegram” bila taarifa hapo unatupa kifaa ulichotumia
Kazi nzuri chifu, Haswa tuliozoea kukesha hukuHahaha, asante mkuu wangu.
Naamini katika kutoa taarifa mapema kwa wadau ili wasishtuke nini kimetokea. Landa iwe emergency ambayo hakuna jinsi zaidi ya kufanya haraka sana
Imesaidia sana mkuu. Mara tufuatilie Telegram na Tweeter, hapo hakuna muda wa kupoteza, tosa kifaaa mto Ruvu, kikisombwa na maji ni ngumu ku trace. Baharini kinaweza kuvuliwa. Halafu toa taarifa simu imeibiwa, unguza vidole hasa gumba na mafuta ya mawese, alizeti hapana DNA haifutiki.Naamini katika kutoa taarifa mapema kwa wadau ili wasishtuke nini kimetokea.
Mkuu mara ya Kwanza mtu aki ni QUOTE au aki ni LIKE nilikua napata taarifa hata Kama nipo nje ya JF siku hizi kimya Nini tatizo au Nifanyeji iwe Kama mwanzo?Hahaha, asante mkuu wangu.
Naamini katika kutoa taarifa mapema kwa wadau ili wasishtuke nini kimetokea. Landa iwe emergency ambayo hakuna jinsi zaidi ya kufanya haraka sana
Hao ni wachache tu list ni ndefu mno ukitaka uwone utawakuta usiku wa manane saa 6 huko mpaka mida mibovu nk..
Unatumia App? Umefanya update ya App?Mkuu mara ya Kwanza mtu aki ni QUOTE au aki ni LIKE nilikua napata taarifa hata Kama nipo nje ya JF siku hizi kimya Nini tatizo au Nifanyeji iwe Kama mwanzo?
Kitambo, ndo maana 1st post imeweka na updateMax ..msharekebisha?
Ndio natumia AppUnatumia App? Umefanya update ya App?