Nimetoboa kibishibishi sana. Hata siamini katika huu umri wangu niliweza kukimbia kumzidi Usain Bolt ili tuzikwepa risasi za wale vilaza waliofeli mtihani wa kidato cha nne.
Niwe tu mkweli. Niliingia barabarani kuwashuhudia Gen Z. Na nisiwe mnafiki! Wanastahili pongezi. Na kama huamini, angalia kwa umakini ule mwili wa yule mwanamke mwenzako kama haujapungua kilo za kutosha ndani ya siku mbili tu.
Watanzania ni bendera fuata upepo, sasa hivi mambo ya free polepole, free tundulisu, free heche n.k yamekwisha. Upepo umehamia kwenye taarifa za risasi na vifo