JF na nicknames.......

JF na nicknames.......

shem,umeona mambo ya AD?hantakii mema huyu,eti kibabu ka bishanga na mambo ya valentino wapi na wapi?
Kwani mababu ndo hawajui kupenda au hawataki kupendwa?? mi hizo ndevu zinaniacha hoi.... 🙂
basi kesho nitamtuma dereva wangu atakuja na li jaguar langu jipya and he will be in uniform (mpaka gloves),aku pick saa ngapi?
(btw umeona mambo ya AD lakini?mpe tahadhari kuwa atantoa roho jamani).
relax, take a deeeeeep breath, you will be alright, trust me 😛oa
@bishanga
basi leo hulali kisa AD kakuomba uwe valentine
na hivi una vidole nchi10 vitagusa dari leo.
hahahahahaha Kongosho bana unamfanya Bishanga aone haya sasa..
tatizo lako we wivu,kwani we She?
mmmhhhhhhhh :A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:

Nitumie dereva niondoke nae.
Alafu AD nilimwambia akuzingue. . pole ehhh!!Nenda kameze dawa presha ishuke.
Doto nilikwambia nini kuhusu kusema kila kitu hadharani?
wivu sina roho inauma eh.....hahahahaa .....mbona kaniPM na tushapanga miadi ya kwenda maldives?
Really??????????????
Tooobah sibukhana!
Halafu sioni kitufe cha kuripoti abuse!
kiko upande wa kulia juu ya page yako, kina rangi nyekundu..
kwa ajili ya Valentine ... ila kuna kingine chini upande wa kulia
kina rangi ya blue. hicho ukibonyeza tu MODs wote watafanya harambee hapa 😛oa
he he he
ndio utajua raha ya dira lichomekwe kwenye nguo ya ndani
AD keshamchukua
wambea tunasubiri mvurumuane

afu alikuwa kakuwekea ile taarabu ya mzee yusuf
eti mwanamke gani mdomo kama filimbi
hufai kwa lipstik

usintaje, nimekuibia siri tu
si unajua tena weee shogaa angu.

hahahahahahah looohh we sikuwezi...
 
Kurwa I couldn't help it. . .alikua anaringishia kila mtu.
 
Kurwa I couldn't help it. . .alikua anaringishia kila mtu.

usjali..
Nimempa yeye chaguo la kwanza ..
sababu ana ndevu , lakini naona bado anakataa mitaa..

siku ya leo ikisha hajanipa jibu basi .....
 
usjali..
Nimempa yeye chaguo la kwanza ..
sababu ana ndevu , lakini naona bado anakataa mitaa..

siku ya leo ikisha hajanipa jibu basi .....
Anaogopa usije ukampeleke Zanzibar wakati wewe uko Meru. . . lolz

Alafu wewe. . .BASI TU!!!
 
Anaogopa usije ukampeleke Zanzibar wakati wewe uko Meru. . . lolz

Alafu wewe. . .BASI TU!!!

hahahahahahahah lol..
haiwezi tokea akikubali ombi langu kwa moyo wote..

Najua umenuna ila ngoja ngoja bana..
si nilisha kwambia jana sababu..
 
hahahahahahahah lol..
haiwezi tokea akikubali ombi langu kwa moyo wote..

Najua umenuna ila ngoja ngoja bana..
si nilisha kwambia jana sababu..

Hhhhm we mdanganye tu mwenzio.Ila vyovyote vile. . hakikisha zawadi anaituma nyumbani.Sawa ehhhh?Mwambie ni kwa jirani!!

Ahhhh we bana. . . mi nataka hivyo hivyo!!
 
Hhhhm we mdanganye tu mwenzio.Ila vyovyote vile. . hakikisha zawadi anaituma nyumbani.Sawa ehhhh?Mwambie ni kwa jirani!!

Ahhhh we bana. . . mi nataka hivyo hivyo!!

si mdanganyi bana acha kunikoseshea riziki yangu bana.. lohhhhh

unajua kama hauna details si mtamu kabisa..
mpaka leo usiku story yote hahahahahah lol..

Mwenzio sina hamu hapa nimenunua ticket ya cricket ..
halafu cheki hali ya hewa sasa mvua kwa kwenda mbele..
wa ki cancel ntalia kweli ...:A S embarassed:
 
si mdanganyi bana acha kunikoseshea riziki yangu bana.. lohhhhh

unajua kama hauna details si mtamu kabisa..
mpaka leo usiku story yote hahahahahah lol..

Mwenzio sina hamu hapa nimenunua ticket ya cricket ..
halafu cheki hali ya hewa sasa mvua kwa kwenda mbele..
wa ki cancel ntalia kweli ...:A S embarassed:

Hehehe sinimeshakwambia uhakikishe zawadi inafika home?Au kuna riziki nyingine unataka?Lolz

I'm soooooooooo not happy. Na mimi nataka kidogo alafu badae unimalizie!!

Hehehehe na naomba wacancel kwasababu unajidai mjanja.
 
Hehehe sinimeshakwambia uhakikishe zawadi inafika home?Au kuna riziki nyingine unataka?Lolz

I'm soooooooooo not happy. Na mimi nataka kidogo alafu badae unimalizie!!

Hehehehe na naomba wacancel kwasababu unajidai mjanja.

muone vile.. nikikupa kidogo hauta ridhika ...
we mgumu kweli niachie basi nipate details zote kwanza
usinibane hivyo basi khaaaaaaaa..

na wa ki cancel yako ngumu .... nakutolea mahasira yote teh teh teh lolz
 
muone vile.. nikikupa kidogo hauta ridhika ...
we mgumu kweli niachie basi nipate details zote kwanza
usinibane hivyo basi khaaaaaaaa..

na wa ki cancel yako ngumu .... nakutolea mahasira yote teh teh teh lolz

Please please pleaaaaaaaase.
I beg you pleaaaaaaaaaaaaaase!!
Please please please.
 
Kwani mababu ndo hawajui kupenda au hawataki kupendwa?? mi hizo ndevu zinaniacha hoi.... 🙂

relax, take a deeeeeep breath, you will be alright, trust me 😛oa

hahahahahaha Kongosho bana unamfanya Bishanga aone haya sasa..

mmmhhhhhhhh :A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:


Doto nilikwambia nini kuhusu kusema kila kitu hadharani?

Really??????????????

kiko upande wa kulia juu ya page yako, kina rangi nyekundu..
kwa ajili ya Valentine ... ila kuna kingine chini upande wa kulia
kina rangi ya blue. hicho ukibonyeza tu MODs wote watafanya harambee hapa 😛oa


hahahahahahah looohh we sikuwezi...

AD ,TF kaniPM,anadai presha inapanda inashuka,hebu njoo uokoe mtoto wa mwenzio pliz.
Ps:mwambie ukweli kuwa ulikuwa unatania tu kwani he is your real valentine!
 
Anaogopa usije ukampeleke Zanzibar wakati wewe uko Meru. . . lolz

Alafu wewe. . .BASI TU!!!
Lizzy,AD kumbe ndo alimgandisha figanigga zanzibar,du,mtoto huyu!
 
AD ,TF kaniPM,anadai presha inapanda inashuka,hebu njoo uokoe mtoto wa mwenzio pliz.
Ps:mwambie ukweli kuwa ulikuwa unatania tu kwani he is your real valentine!

we upo karne gani Bishanga TF ameshaopoa kimwana mwingine siku mingiiiii....

Haya bana nachukulia umekataa ombi langu... asante
 
Back
Top Bottom