JF na nicknames.......

JF na nicknames.......

Lizzy= Betina (wa gazeti la Sani)!

Hilo jingine ulilompa ni refu sana.
Bishanga=Banana (wine?? Lol)
 
we upo karne gani Bishanga TF ameshaopoa kimwana mwingine siku mingiiiii....

Haya bana nachukulia umekataa ombi langu... asante
naota naota nadanganywa ooooohhhhh.....
(source:mbaraka mwinshehe mwaruka RIP).
 
Kwani mababu ndo hawajui kupenda au hawataki kupendwa?? mi hizo ndevu zinaniacha hoi.... 🙂

relax, take a deeeeeep breath, you will be alright, trust me 😛oa

hahahahahaha Kongosho bana unamfanya Bishanga aone haya sasa..

mmmhhhhhhhh :A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:


Doto nilikwambia nini kuhusu kusema kila kitu hadharani?

Really??????????????

kiko upande wa kulia juu ya page yako, kina rangi nyekundu..
kwa ajili ya Valentine ... ila kuna kingine chini upande wa kulia
kina rangi ya blue. hicho ukibonyeza tu MODs wote watafanya harambee hapa 😛oa


hahahahahahah looohh we sikuwezi...

afrodenzi=kisura wa jf!
Imepita hyo
 
Back
Top Bottom