JF na nicknames.......

@SL and byshernger, acheni kutongozana hadharani, get a rum, oyah!

wee Gchokest, nina bonge la pikipiki nakata mitaa kiulainiii
 
@SL and byshernger, acheni kutongozana hadharani, get a rum, oyah!

wee Gchokest, nina bonge la pikipiki nakata mitaa kiulainiii

ha ha ha ...... Hiyo nick name bana...ha ha ha.... nway no wonder ulipotea for about an hour..

Mi nilidhani uko na tairi nne... Kumbe uko na mbili....
Mi nilienda kumtembelea Lizzy kule massage ndo nimerudi hapa one time..
 
@SL and byshernger, acheni kutongozana hadharani, get a rum, oyah!

wee Gchokest, nina bonge la pikipiki nakata mitaa kiulainiii
Khaaa! Kongosho thibitisha au kanusha ulichoandika kabla sijaomba mwongozo kwa PAW! Wapi umeona tumetongozana na Bishanga?
 
Khaaa! Kongosho thibitisha au kanusha ulichoandika kabla sijaomba mwongozo kwa PAW! Wapi umeona tumetongozana na Bishanga?
Anamaanisha anawaonea wivu!! Hakuna haja ya kuwasiliana na PAW wewe dunda tu na bishanga wako, kama vipi mpotezee!!
 
Anamaanisha anawaonea wivu!! Hakuna haja ya kuwasiliana na PAW wewe dunda tu na bishanga wako, kama vipi mpotezee!!
Hahaha! Asante kwa kunishitua!.. Ukimuona kongosho popote alipo mwambie wivu ni kidonda na akishiriki atakonda...
 
si nimekuona umelegeza jicho kweli akati byshernger anakutengenezea colar ya blausi

afu akakuambia uwe unavaa za ku-pimp

afu kwa nini hukumuuliza kachomoa shati ghafla?

Khaaa! Kongosho thibitisha au kanusha ulichoandika kabla sijaomba mwongozo kwa PAW! Wapi umeona tumetongozana na Bishanga?
 
@kigarama, hivi uliwaona walivyokuwa wanafanyiana hadharani???

Sina wivu, nimeopoa toto la nguvu. :)
 
Ni jambo la kawaida wanajamii kupeana 'nicknames', mimi nimeshuka na hizi:
Bishanga- tajiri la kihaya
Aspirin- babu revola
Lizzy-condoliza rice
Kongosho-AC/DC
AD-mama maua
Michelle-mrs HC
Faiza foxy-Ana makinda
Kabakabana-zipu mkononi
Cantalisia-binti mtambuzi
Mtambuzi-mzee wa busara
Husninyo-miss mpwapwa
The Boss-mzee wa nyumba ndogo
Fidel-infi wa ukweli
Figanniga - .........
popobawa - ......
...........- binti mcharuko
..........-chakubimbi
dena - chaukali
jazieni hizo dot dot (mi naogopa ban) na kisha tuendelee......

@Figanniga ....... mia.mia
 
Back
Top Bottom