JF Morogoro MPOOOO?

JF Morogoro MPOOOO?

mzee kaumba night klabu wanaenda walalaho manake kule jero,buku unangoa, mi nakushauri uende Oasis ama Hilux, hope utainjoi vibaya,na kama unatumia mdudu/ mnyama nenda sarvoy ipo ya kuchoma swaaaaaafi kabisa.

mkuu hata kule wanapatikana au aendee nae
 
Ai umesahau pale itigi pako poa zaid kwani uduma zote zipo.
 
Back
Top Bottom