Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 119,224
- 142,026
Okay i have and i wont say any...No don't
Labda kama wewe unalo ndo uniambie hapa nakusikiliza
Okay i have and i wont say any...No don't
Labda kama wewe unalo ndo uniambie hapa nakusikiliza
Muone.. Uzuri wako wote huo unadhani vibopa wanakuangaliaga tuu?Mh huko mi hapana huko
Mambo ya kikubwa hapana kabisa mimi
Napenda mambo madogo madogo tu
Iko jambo?Hahahaahhahahaahahahahaha
Sema usikike tu
Sina haraka, papara wala pupa... Nikilenga sikosagi...Hahahaahhahahaahahahahaha
Sema usikike tu
Haaaa et maneno mengi anayoandikagaila huko hatupendi maneno mengi kama unayoandikaga huko ni mapicha tu na mavideo
Siyo mazoea najiamini sasa... Nikiamua kukukazia nakungoa chap chap...Usiishi kwa mazoea shaurilo
Utagonga mwamba awamu hii
Wewe si unajifanya kukaza wakati ushalegea bado kukumaliza tu... Naita bao la mkono...Mwanaume kwa Mwanamke huwezi kukaza
Utalegea tu
Lazima ukaze mwanamke ukilegea tu itakua habari za mbwa kala mbwaWewe si unajifanya kukaza wakati ushalegea bado kukumaliza tu... Naita bao la mkono...
Umesahau kusema... Expect less, to live happily ever after...Lazima ukaze mwanamke ukilegea tu itakua habari za mbwa kala mbwa
Si Kila anaekuja kwako ana nia nzuri nawewe ndugu yangu
Follow your heart but carry your brain with you
Mi iko poa sanaJambo sana mimi!
Habari ya veve??
Acha vijana nao wajivinjari maana siye wa kitambo tunawaangalia tu.....Sawa nitamwambia usijali
Nipo sana tu mbona?We missed you alot
U hali gani lakini?!
Long time sanaaaaa
upogo besti?
kwa kweli maisha yanapigisha watu kona balaa!
nimemiss sana uwepo wako na marafiki zangu wengine wote!
imfikie ICHANA, Window7 Miss Neddy and co...
kwa kweli nimewamiss mno..
Umeona eeeh!!!???